Wimbi la wanaume kutafuta wenzi mtandaoni

Wimbi la wanaume kutafuta wenzi mtandaoni

Huo ni ushambaaaa!!!!!! Asilimia kubwa ni wale waliokulia vijijini n walioibukia mitandao ukubwani!!!!
 
mi bora live kuliko mtandaoni.., mtandaoni unaandika kabisa kitu kinabaki, live live kama huna uhakika na kitu unakisema kwa sauti ya chini na kwa haraka kdg. Ukisikia unasemaaa... unacheka cheka nakupotezea.

mtandaoni ukijichanganya kdg wanakutumia screenshot, live live unaongea kitu sasa hivi nakukana hapa hapa.....

ongezeeni # teamLiveLive
 
Huo ni ushambaaaa!!!!!! Asilimia kubwa ni wale waliokulia vijijini n walioibukia mitandao ukubwani!!!!
Hahahahaaaa, ukikuta mtu anilaishambulia mitandao ilishamtokea puani. Ivi kuzaliwa kijijini ni zambi eh! Watu waliozaliwa kijijini leo ndo wajanja wa mjini. Mfano mzuri angalia kwa mweshimiwa jpm ni kijiji origin, leo anaongoza taifa, bado wapo watu wengi wamefanya mkubwa ya kukumbukwa na dunia, greater percentage of people paving their way to a good economy ni kutoka kijijini. Tuheshimuni sisi tuliotoka kijijini, tumekuja mjini kuwaonyesha kazi
Du! Ili nalo ni jibu
 
Huna haja ya kuhangaika physicaly maana wanaangalia umevaaje au kana una gari
 
Huo ni ushambaaaa!!!!!! Asilimia kubwa ni wale waliokulia vijijini n walioibukia mitandao ukubwani!!!!
We yamekukuta af ushamba gani watu tumezaliwa mjini ymekulia mjini tunachezea pc tangu utotoni na tunatongoz Mtandaoni vie vile na tunagegda.....acha ujinga wakupotosha watu.... Hakuna ushamba ni utandawazi wa hali ya juu
 
Na bado kuijua akili /dhamira halisi ya mwanaume anaye tafuta mwenza mtandaoni ni ngumu.
Kuna mwingine anajifurahisha nafsi tu. Mwingine yupo mazoezini. Na hata mwingine ni attention seeker tu. Kwa hiyo mtu aanzishapo uzi unapaswa kumsoma '' between the lines ''!
 
Mapenzi ya mtandaoni yana uwazi na maelewano zaidi maana ni rahisi sana kuelewana na mtu ambae ulishajua kuwa anahitaji nini katika mapenzi na kile asichokihitaji. Kama mwanamke anataka pesa,atakwambia makavu laivu kuwa shida yake ni pesa na feelings mpelekee future baby mama wako na kama ametendwa na anataka kukutumia kwa muda kisha akubwage akipona maumivu,napo anakueleza tu na wewe unatia miguu ukiwa unajua kuwa kilichokupeleka katika huo uhusiano ni kipi.
Ni tofauti na ile hali ya kumfukuzia mtu kwa uongo mwingi na ahadi za kumjengea kitu mawinguni, au kujifanya umekufa umeoza wakati una shida zingine tu. Na kuna wengine huwa wanafikia mpaka kupata kesi za kumfuata mtu asietaka n.k kwenye mtandao mnaambizana makavu laivu na mpakka mnakutana kila mmoja anakuwa anajua kabisa kiwa ana nafasi ipi katika uhusiano husika.
 
Ila angalia usije umbuka kama mzee wa kongo drc naona alikuwa anacheza ma skype
 
Mapenzi ya mtandaoni yana uwazi na maelewano zaidi maana ni rahisi sana kuelewana na mtu ambae ulishajua kuwa anahitaji nini katika mapenzi na kile asichokihitaji. Kama mwanamke anataka pesa,atakwambia makavu laivu kuwa shida yake ni pesa na feelings mpelekee future baby mama wako na kama ametendwa na anataka kukutumia kwa muda kisha akubwage akipona maumivu,napo anakueleza tu na wewe unatia miguu ukiwa unajua kuwa kilichokupeleka katika huo uhusiano ni kipi.
Ni tofauti na ile hali ya kumfukuzia mtu kwa uongo mwingi na ahadi za kumjengea kitu mawinguni, au kujifanya umekufa umeoza wakati una shida zingine tu. Na kuna wengine huwa wanafikia mpaka kupata kesi za kumfuata mtu asietaka n.k kwenye mtandao mnaambizana makavu laivu na mpakka mnakutana kila mmoja anakuwa anajua kabisa kiwa ana nafasi ipi katika uhusiano husika.

Umefafanua vizuri sana,
Big Up.
 
Hakuna mwanaume anaeweza tafuta mwanamke mtandaoni aiseeee....
Haya mambo nayaona yanafanywa na wavulana, na kama wapo wanaume wa hivyo basi watakua ni wa Dar.
Huku Ushirombo bado tunatumia barua yenye msisitizo wa alama ya mshale kuchoma kumoyo.
Au wakati mwingine inapo lazimu tuna vizia mtoto anapo tumwa dukani, sokoni au alitoka kisimani
 
Back
Top Bottom