GREGO
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,282
- 2,931
Au ndo 50 kwa 50 wanayoiimbaHiyo inaitwa Equal Rights.
Au ndo 50 kwa 50 wanayoiimbaHiyo inaitwa Equal Rights.
ni kazi.... kama kuwasongea ugali na kuwafulia!!!!!! wakiuza miili mnalalamika sasa wanafanya kazi halali unalalamika khaaaasasa wameongezeka kweli. karibu kila daladala nayopanda anakuwepo. ni uaminifu, mabadiliko au kuna jigine?
Mkuu upo mbali saana,wapo wanaoendesha BodabodaMuda si mrefu wanawake watavamia kuendesha boda boda pia. Ni fursa sawa kwa wote.
Elimu, elimu, elimu, hata kuku kakuzidi akiliSafi Ila warekebishe lugha na uvaaji tumechoka kuona mifungus yao ya ma,,k,ni kutokana na kuvaa kata k,
Ni kweli. Wengine niliwakuta saiti fulani jana wanabeba zege balaa, sambamba na wanaume. MMoja kibonge si mchezoni kazi.... kama kuwasongea ugali na kuwafulia!!!!!! wakiuza miili mnalalamika sasa wanafanya kazi halali unalalamika khaaaa
mbona wapo wengi tuu wanaendesha bodabodaMuda si mrefu wanawake watavamia kuendesha boda boda pia. Ni fursa sawa kwa wote.