Wimbi la Makonda wa kike

Wimbi la Makonda wa kike

Nchi Kavu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2010
Posts
4,289
Reaction score
2,472
sasa wameongezeka kweli. karibu kila daladala nayopanda anakuwepo. ni uaminifu, mabadiliko au kuna jigine?
 
Angalau kuliko kwenda kujiuza, ila sasa hatari ni pale wakapoanza kupuliza Ban...i nahisi hali itakua mbaya. Sitamani wafikie huko tu.
 
Ni upepo tu unapita...dawa yao kuwapiga mimba tu watuachie kazi zetu
 
hao ni wake wa madereva , madereva wamechoka kuweka makonda wezi kila siku hesabu haifiki wameona dawa ni kuweka wake zao hata wakiiba poa .
 
hao ni wake wa madereva , madereva wamechoka kuweka makonda wezi kila siku hesabu haifiki wameona dawa ni kuweka wake zao hata wakiiba poa .

Hahhaa hii kali mana naskia wakiwaacha nyumbani wanaibiwa kweli waje zao madereva bora kutoka nae kushinda nae na kurudi nae
 
Wanalea saa ngapi watoto?
Waume zao wakibandua mabeki tatu wasilalamike,maana wanawaachia fursa wenyewe.
 
Ni upepo tu unapita...dawa yao kuwapiga mimba tu watuachie kazi zetu

Achana na mawazo mgando (mawazo ya karne zilizopita).
wanawake wanakuwa maraisi, mawaziri, makatibu wa umoja wa mataifa, halafu we unaona mwanamke kuwa konda ajabu. Siku moja Panda Ndenjela bus uone mwanamke anavyoikamua basi Yutong toka Dar hadi Mbeya na siku ya pili anarudi nayo.
 
Back
Top Bottom