Elly B
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 1,194
- 906
Naona kuna kundi lingine ambalo limeachwa nyuma kwenye hili wimbi la kuhama. Kuna wale waliotangaza nia wakiwa watumishi wa umma, mawaziri na wanaofanana na hao. Hawa nadhani wameamua kusubiri muda wao uishe halafu nao waamue wanachofanya.
Naona kuna kundi limekuwa kimya ghafla. Na siamini kama watu wa aina ile huwa wanapotea kimya hivyo! Sijui lakini. Hebu tusubiri ubunge na uwaziri uwe eksipayadi rasmi. Nahisi kuna watakaofuata!
Naona kuna kundi limekuwa kimya ghafla. Na siamini kama watu wa aina ile huwa wanapotea kimya hivyo! Sijui lakini. Hebu tusubiri ubunge na uwaziri uwe eksipayadi rasmi. Nahisi kuna watakaofuata!