Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,242
- 113,623
Inaripotiwa kuwa nyumba ya mwanae na Uhuru Kenyatta imevamiwa na watu wa usalama huko Karen!
Majuzi iliripotiwa kuwa serikali imemuondolea walinzi mama yake na Uhuru ambaye ni mke wa Rais wa kwanza wa Kenya, Jomo Kenyatta.
Sikudhani Ruto angefanya mambo kama haya. Nilidhani ni mstaarabu. Kumbe ni wale wale tu.
Wapatapo madaraka wanageuka na kuwa viumbe vya ajabu kabisa.
Ruto anacheza na moto. Anaulamba moto kwa ulimi.
Not good at all.
Majuzi iliripotiwa kuwa serikali imemuondolea walinzi mama yake na Uhuru ambaye ni mke wa Rais wa kwanza wa Kenya, Jomo Kenyatta.
Sikudhani Ruto angefanya mambo kama haya. Nilidhani ni mstaarabu. Kumbe ni wale wale tu.
Wapatapo madaraka wanageuka na kuwa viumbe vya ajabu kabisa.
Ruto anacheza na moto. Anaulamba moto kwa ulimi.
Not good at all.