Mkuu kutetea ni pamoja na kusema kauli tata ya katibu wa ccm sio issue bali mkulu! Hizi ni propaganda mkuu,ulipaswa kushangaa na kuuliza hilo gamba basi ni nini? Lakini hujakosoa huo mkanganyiko wazi bali ukaamua kuwaaminisha watu pale unapoamini! Je chama ni mwenyekiti? Kama sio what is going on there? Wewe ni kizazi tena damu yetu usifungwe na mbinu hizi zinazoshindwa za ccm.ukitaka ueleweke kuwa muwazi na mkweli tu.werevu wengi wanapita humu usipindishe mambo kwa personal benefit mkuu.- Mkuu sijawahi hata mara moja kutetea uozo iwe wa CCM chama changu, au Chadema msimamo wangu uko wazi sana kuanzia hapa na blogs zote ninazoshiriki, ukweli ni ukweli na uongo ni uongo, CCM wakifanya vyema ninasema na wakiharibu ninasema na kule Facebook ninasema wazi bila kuficha on ishus,
- HOWEVER: nisichotaka ni kuwa bendera fuata upepo, hapana shule nimejisomesha sana huku majuu kwa hela zangu mwenyewe, ili nisiwe mjinga wa kufikiriwa na wengine, I like CCM ambako mimi ni member sikatai kwamba kuna mambo mengi ndani ya CCM hayakubaliki, ndio maana ninataka mabadiliko kutokea from within na wengine muyalete form outside, waamuzi ni wananchi. I like Chadema as chama, lakini siwaamini sana baadhi ya viongozi wake! Otherwise wote tupo pamoja na TAIFA KWANZA!
William @ NYC, USA.
Tatizo ni matayarisho extra wanayopewa kusomeshwa vyuo vya nje vyenye sifa za kimataifa, huku sisi wenzenu tukipata mafunzo kwenye shule za kata zilinazozoofishwa na ufisadi wa baba zenu!
Halafu hizi nafasi za wakuu wa wilaya wanazozawadiwa kuwajengea CV na kuwatajirisha ni matumizi mabaya ya madaraka. Katiba tunayoitaka ni kuondoa ubaguzi huu, itupe haki sawa na fursa sawa. Sio wengine walipiwe mabilioni kusoma Oxford na sisi hata madawati hakuna na tunasoma Eckenford! Hatuna ugomvi na mwl. JK Nyerere kwa kuwa watoto wake walipewa fursa sawa!
Je yupi mtoto wa hawa mafisadi waliosomeshwa kwa fedha za mafisadi anaweza kujiunga CDM na kupinga ufisadi kwa nguvu zote! Angalau Makongoro alifanya hivyo kwa kuwa alijua hakula cha kifisadi! Mpaka baba yake alipofariki mafisadi wakamrubuni!
Nadhani Nyerere angelikua hai Makongoro asingelirubuniwa na Mkapa!
Watoto wa viongozi hawawezi kuleta mabadiliko yenye tija kwa Taifa.Sidhani kama watawachukulia hatua wazazi wao walioshiriki kwenye ufisadi.Sana sana wataendeleza ufisadi kwa kutumia mbinu mpya.Shida si kutawala,bali kutaka kuendelea kuwa madarakani by any means neccessary.
- Mkuu sijawahi hata mara moja kutetea uozo iwe wa CCM chama changu, au Chadema msimamo wangu uko wazi sana kuanzia hapa na blogs zote ninazoshiriki, ukweli ni ukweli na uongo ni uongo, CCM wakifanya vyema ninasema na wakiharibu ninasema na kule Facebook ninasema wazi bila kuficha on ishus,
- HOWEVER: nisichotaka ni kuwa bendera fuata upepo, hapana shule nimejisomesha sana huku majuu kwa hela zangu mwenyewe, ili nisiwe mjinga wa kufikiriwa na wengine, I like CCM ambako mimi ni member sikatai kwamba kuna mambo mengi ndani ya CCM hayakubaliki, ndio maana ninataka mabadiliko kutokea from within na wengine muyalete form outside, waamuzi ni wananchi. I like Chadema as chama, lakini siwaamini sana baadhi ya viongozi wake! Otherwise wote tupo pamoja na TAIFA KWANZA!
William @ NYC, USA.
- Mkuu sijawahi hata mara moja kutetea uozo iwe wa CCM chama changu, au Chadema msimamo wangu uko wazi sana kuanzia hapa na blogs zote ninazoshiriki, ukweli ni ukweli na uongo ni uongo, CCM wakifanya vyema ninasema na wakiharibu ninasema na kule Facebook ninasema wazi bila kuficha on ishus,
- HOWEVER: nisichotaka ni kuwa bendera fuata upepo, hapana shule nimejisomesha sana huku majuu kwa hela zangu mwenyewe, ili nisiwe mjinga wa kufikiriwa na wengine, I like CCM ambako mimi ni member sikatai kwamba kuna mambo mengi ndani ya CCM hayakubaliki, ndio maana ninataka mabadiliko kutokea from within na wengine muyalete form outside, waamuzi ni wananchi. I like Chadema as chama, lakini siwaamini sana baadhi ya viongozi wake! Otherwise wote tupo pamoja na TAIFA KWANZA!
William @ NYC, USA.
Kaka Willium Salaam,
Kwanza nitangulize kutoa tongotongo lifuatalo....hakuna mtu anaeona WIVU kwa watoto wa viongozi wa Tanzania kisiasa na wao kufuata nyayo za baba zao....wala kusema mtu hastahilio kuwa mwanasiasa kwa kuwa mzazi wake alikuwa mwanasias sio sahihi kwa kuwa unamkosea haki yake ya kikatiba....hivyo binafsi sioni tatizo wewe na watoto wengine wa vigogo nao kuwemo kwenye siasa
But wait here, let's face reality, hebu tuambie ukweli, ungekuwa unetumia "Matonya" mbele ya jina lako ungekuwa hapo? labda ndio lakini sidhani mtu kama Ridhiwani angefika hapo. Vipi yule mtoto wa Ghadaffi, can you tell me angekuwa na uwezo? Je angesikika hata kwenye TV akibwabwaja kumtetea mzazi wake kama angekuwa ni mtoto wa kawaida?
Nasema hivi kwa sababu wengi wa watoto wa wakubwa hawaingii kwenye siasa kwa sababu wanajua kuna jukumu la kufanya bali kwa sababu wanajua kuna "keki ya kula" ambayo wamezoea kuila siku zote na wangependa waendelee kuila....Ni kweli wapo wenye uwezo na nia njema, hawa nafasi wanaistahili ila sio kama yule mtoto wa mkuu wa wilaya fulani niliesoma nae bonge la kilaza lakini alienda nje na leo ni mfanyakazi jiwizara moja eti na yeye anatupangia sera na mipango ya maendeleo...................what a shit...
supplimentary exams
by William Malecela on Saturday, May 14, 2011 at 1:56pm
@ NEW YORK CITY: Ni lazima tukubaliane kwanza kwamba watoto wa viongozi wa Tanzania ambao wengi wameanza kuingia kwenye siasa na kushika nafasi mbalimbali wana haki kabisa ya kushika nafasi yoyote ya uongozi wa taifa kama Watanzania wengine. Haki yao ya Kikatiba kuchaguliwa au kushiriki nafasi yoyote ya kisiasa kwa mujibu wa taratibu na sheria zilizopo haifutwi au kuondolewa kwa sababu ya nafasi za baba zao kwa taifa letu, sasa au huko nyuma.
-Tatizo kubwa ambalo lipo au niseme mawili ni kwamba kuna hisia kuwa watoto hao wanapewa nafasi hizo si kwa sababu ya kustahili wao wenyewe bali kwa sababu ya kubebwa au kutengenezewa mazingira ya kushika nafasi mbali mbali kwa sababu ya wazazi wao. Hili tumejionea likitokea kwa vyama vyote vya siasa nchini, yaani watoto na ndugu wa viongozi wakishiriki kwenye uongozi pia!
- Na pili, endapo wanashika nafasi ambazo zinahusiana na masuala ya utawala na sheria itakuwa vigumu sana kwa watoto hao kutengua au kuchukua hatu ambazo zitawaonesha kuwa wanafumua mambo yaliyoyofanywa na wazazi wao au hata kushindwa kuchukua hatua mbalimbali kwa sababu ya wazazi wao.
- Hivyo, hisia za haya mawili zinawafanya wananchi wengi kuona kuwa katika nafasi kadha wa kadha hasa za kisiasa ni vigumu sana kwa watoto kuwawajibisha wazazi wao - aidha kwa kusahihisha makosa yao au kuwachukulia hatua kama inapasa. Jambo la msingi ni kuweka msingi na utaratibu kuwa kila Mtanzania anapata nafasi ya kulitumikia taifa lake kwa kustahili kwake yeye mwenyewe na si upendeleo (uwe wa kidugu, kidini, kikabila, rangi au ushawishi).
- Na pale inapotokea kuwepo ushahidi wa upendeleo kutokana na nafasi za baba zao basi wananchi tujitokeze na kusema wazi palipopindishwa sheria, lakini sio kulalama tu bila sababu za msingi na hasa wivu, maana ni haki yao pia kushiriki taifa bila kuvunja sheria.
Ahsanteni.
William Malecela.
Hivi hizo ndiyo nini? Manake nimekuwa nikizisoma soma tu humu bila hata kuelewa ni vitu gani.
Ridhiwani wakati wa kampeni 2010 alipita Jimboni kwangu! Alimwahidi kijana mmoja ukuu wa Wilaya......nilicheka sana nilipoipata hiyo. Yule dogo alikuwa anapewa Hadi ripoti za maendeleo ya Wilaya as if naye ni kiongozi wa nchi.....sababu ya Jina Kikwete....
Dark City, Enzi za Mwalimu, uongozi ulikuwa ni kwa vito tena kwa kujitolea. Sasa uongozi wa kisiasa ni professional ambayo ni ajira rasmi tena ndio the top most paying job motive ikiwa not to lead but to gain, reap and sometimes rob!.Mbona kwenye awamu ya kwanza watoto wa wakubwa hawakuwa wengi kwenye siasa kama sasa?. Inakera sana...ial yana mwisho!!