Leo star tv William Malecela
Kasema alikuwa moja wa waanzilishi wa JF lakini alilazimika kujiondoa
kwa sababu ya Itikadi ya kisiasa. Je Zito kuandamana na JK kwenda
Ethiopia inatoa picha gani?. Je aoni kwamba wafuasi wake wanaonekana
wamepotea?. The only trust I had for him is gone.
Serious?Kauli ya Mh.William Malecela imethibitisha .
Nilipata bahati ya kusafiri naye gari moja for long trip toka Dodoma mpaka Dar na tulizungumzia kujitoa kwake, kwa vile sababu zake pia ameisha ziwasilisha rasmi kwa uongozi wa jf, kiukweli, sio za kupuuzwa!.
Kwa vile mazungumzo yetu hayakuwa rasmi, kama nilivyoongea na Dr. Slaa, sio busara kuyaleta humu ila hoja za William sio za kupuuzwa.
Nilipata bahati ya kusafiri naye gari moja for long trip toka Dodoma mpaka Dar na tulizungumzia kujitoa kwake, kwa vile sababu zake pia ameisha ziwasilisha rasmi kwa uongozi wa jf, kiukweli, sio za kupuuzwa!.
Kwa vile mazungumzo yetu hayakuwa rasmi, kama nilivyoongea na Dr. Slaa, sio busara kuyaleta humu ila hoja za William sio za kupuuzwa.