Nimepita huku,nangojea mrejesho kwa muhusika.Mubarridi pita huku tukamilishe hesabu...
Nimepita huku,nangojea mrejesho kwa muhusika.Mubarridi pita huku tukamilishe hesabu...
Nashukuru kwa wewe kuridhia hili.Kumbe ulishapita...kayajenge sasa...
Kaka bila shaka una ndambi. Tena sio kitambi, ndambi.
Njoo unipige.
Nimepita huku,nangojea mrejesho kwa muhusika.
Kila la kheri wakuu katika juhudi za kumsitiri huyu mwenzetuNashukuru kwa wewe kuridhia hili.
Haya uje PMsiwezi wajibia wenzangu sijui ulikutana na Nani
Cha ngumi.Hahahahahahaha kipigo kipi? Maana kuna vipigo vya aina nyingi Best.
Jimbo lina utata kidogooo....Mumeo huyo? Chukueni jimbo sasa
Shukrani.Kila la kheri wakuu katika juhudi za kumsitiri huyu mwenzetu
Kwahiyo nighairi si ndiyo mke wangu kipenzi ?Jimbo lina utata kidogooo....
Damn! People are so desperate.salaam,, mapenzi huanza popote na Mimi najitokeza kuweka wazi hitaji langu la kupata mwenza wa halali hapa jf .. kwa aliye na uhitaji na akaona nakidhi vigezo vyake karibu tuiendeleze Safari ya maisha pamoja mpaka pale pepo itakapotuunganisha Tena.
wasifu wangu
jinsia: ke
umri: 29
rangi: mweusi
dini: Muslim
kabila: makonde
urefu na size ya mwili: wastani
elimu: bachelor degree
kazi: Sina ajira rasmi
Haiba: upole and likes to stay indoor most of the time.
sijabahatika kuolewa kabla lakini Ni mama wa mtoto 1,, not a single mom though nikimaanisha mwanangu anaishi na kulelewa na baba yake 100%
Kama hiyo ndo tafsiri ya single mother.
wasifu wa mume mtarajiwa
awe Muslim
umri kigezo mtume wetu muhimu awe mwenye kujitambua majukumu yake Kama mume Mimi natambua ya kwangu ila kukumbushana ndo kufaana.
sichagui elimu,, rangi Wala kabila Wala kimo ila sipendelei mwanaume mwenye kitambi,,, ndoa ya mitala nipo tayari ila mwanamke mwenzangu awe ameiridhia. currently naishi Tabora ila kwa mwenye Nia ya dhati nipo tayari kuishi popote.
karibu mume wangu mtarajiwa I can't wait to spend the rest of my life with you.
....Kwahiyo nighairi si ndiyo mke wangu kipenzi ?