Will the real Paul Makonda please stand up?

Hapo mwanzo hapa kuwepo mtu aitwaye
PAUL CHRISTIAN MAKONDA
. palikuwepo watu wawili
Daudi Albert Bashite na Paul Christian Muyenji

Daudi baada ya kutumia kwa mafanikio vyeti vya Paul akaona isiwe soo akaenda mahakamani na kuapa kubadili jina kuwa sasa yeye Paul Christian Makonda

Kwa hiyo Daudi ndiye PCM
Tatizo hana cheti cha kidato cha nne chenye jina la PCM au DAB kipo cha PCMuyenji
 
Nyani hii Story ya BASHITE HUIJUI.do your home work properly before you join on board! unaulizia mtu ambaye ha exist.aliyepo ni A.K.A
 
"Paskali" na wewe pia mwendelezo wa paukwa pakawa!

Where is the truth/evidence linking the three people i.e. Daud Bashite, Paul Christian M. and Paul Christian Makonda?
 
Mkuu nakushauri kamsikiliza tena Gwajima kwani kwenye mahubiri yake ya wiki ilee,hakuna mtu anayeitwa paul C. makonda, maana hayo majina mengine ni ya kuungaunga, ila yupo mtuy anaitwa Paul C. M(sikumbuki kirefu chake) na huyu ukimuambiw aumeibiw ahawezi kukubali wala kuamini kwa sababu majina yalishabadilishwa badilishwa kutoka mwanza mpaka mbegani.
 
..

Yeye anatakiwa kukanusha kwa kuita watu wake aliokua naye, walimu,ndugu, wachungaji etc, watakaomshuhudia kwamba kakua kwao kama Paul Makonda.

Kwa nini apewe mzigo wa kujibu uzushi! Kwa nini hayo maswali wasijibu wahusika au walio na ukweli wawaoneshe hao watu hadharani, hata kwa picha tu!
 
Kwa nini apewe mzigo wa kujibu uzushi! Kwa nini hayo maswali wasijibu wahusika au walio na ukweli wawaoneshe hao watu hadharani, hata kwa picha tu!
Kwa sababu muungwana, mkweli, kiongozi wa dhati akizushiwa uongo anaoweza kuumaliza mara moja tu, anaujibu ili kutoiacha jamii ikae na sintofahamu.

Anayezushiwa ndiye anayejibu tuhuma.

Suppose hao wanaomzushia ni waongo. Na yeye ni Paul Makonda kweli.

Kwa nini hakanushi kwa ushahidi? Kwa nini anaachia wazushi wampake matope?
Kwa nini anaachia sehemu kubwa ya jamii iamini uzushi?

Obama alizushiwa na Trump kwamba hakuzaliwa Marekani. Akatoa cheti cha kuzaliwana kumaliza uzushi. Uzushi ule uliishia pale Obama alipotoa cheti cha kuzaliwa. Hivyo ndivyo kiongozi mzuri anavyotakiwa kufanya.

Kwa nini asikanushe na kuwashitaki mahakamani ili kuijulisha jamii ukweli na kuwaadabisha wazushi?
 
Mkuu miafrika ndio tulivyo.Chukulia suala la Lowassa na yaliotokea baada ya miaka 8,ndipo utapata jibu watanzania wana akili za aina gani
 
kuna paul christian,anatangaza redio ya aden rage huko tabora,hilo la makonda aliliongeza badae under deed pool kukamilisha majina matatu,so paul christian yupo,albert bashite ndo huyu rc,paul makonda ni vampire doesnt exist
 

Hivi kama kweli yupo, yeye mwenyewe anatumia jina gani?

Hivi movie za kibongo bana...maswali meeeeengi lakini majibu kidunchu!

Hizi ndo bongo movie haswa!
 
Yupo mikono salama.
 
On the other hand, labda kajificha, manake na yeye atakua na kosa la kumuuzia mtu jina, hili sakata liishe tu tupumue mwe!
 
Hakuna mtu anaitwa Paul Christian makonda ndio mana hata ukienda NECTA hupati matokeo yake kamwe....
Kuna matokeo ya daudi bashite ambayo alipata zero na ndio jina halisi la mkuu wetu wa mkoa...
Daudi alichukua cheti cha Paul Christian muyenje kujiendeleza na elimu ya juu...baadae ndio akaongeza hilo makonda...
Ndio mana hadi leo daudi a.k.a makonda hawezi kukupa cheti cha form 4 chenye jina la Paul Christian makonda..msione kakaa kimya hana mwenzenu ahurumiwe...
Paul Christian muyenje hawezi kujitokeza kwa sababu yeye sio Paul Christian makonda ndio mana kumaliza mzizi wa fitna kaombwa vyeti hili hii ishu ikwishe.
 
Hivi kama kweli yupo, yeye mwenyewe anatumia jina gani?

Hivi movie za kibongo bana...maswali meeeeengi lakini majibu kidunchu!

Hizi ndo bongo movie haswa!
Kuna wakati zilitembea habari kuwa ni mtangazazi wa televisheni moja huko Tabora, ikimilikiwa na Aden Rage.

Sijui zile habari ziliishia wapi...
 
Nyani ngabu anatumiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…