Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 758
kule cuf alikuwa anachakachua sana pesa za ruzuku mpaka akajenga lile gorofa lake pale kimara sasa huko uchagani(cdm) pesa zote zinatoka kwa saini ya mbowe na komu ( anthony),kwa nini asidhoof na hali hanusi tena?
We rafiki yangu hata akili yako sijui ipo wapi, hivi ugonjwa una uhusiano gani na utajiri? Jaribu kuelimisha ubongo wako Mkuu.