Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,791
- 218,420
Katika vyama vya Kiafrika vinavyodharau Wanachama wake , basi ccm inaongoza kwa mbali sana , Pamoja na chama hicho kuwa na wanachama wengine huko Mbarali , lakini chama hicho kimeamua kuwadharau na kuamua kuteua Mbunge , kugombea tena Ubunge huo huo !
Kwa tafsiri rahisi ni kwamba Wanaccm wa Mbarali wamepuuzwa na chama chao , kiasi kwamba hakikuona haja ya kuchagua yeyote miongoni mwao mpaka wakaamua kurudi bungeni kumtoa wa viti maalum aende kugombea Jimbo , na kwa vile na yeye anajua atatangazwa tu mshindi , kwa vile hakuna Tume huru ya Uchaguzi , tegemeo ni DED na Polisi basi kakubali kuachia kiti maalum !
Tukio hili liwe fundisho kwa Wachumia tumbo wa ccm humu Jf na kwingineko , kwamba nyinyi si chochote wala lolote , endelee kutumika kama vifaa tu , hicho chama kina wenyewe , na wenyewe ndio hao wanaoteuana , Nyie endeleeni kulima mpunga kwa mashamba ya kukodi hapo Mbarali , siku mje mgongwe na matreka mufe mkazikwe , mashamba yenu wenyewe lakini kauziwa mburushi anawakodisha tena !
Siwahurumii hata kidogo , Wajinga nyie !
Nakala : Lucas mwashambwa
Kwa tafsiri rahisi ni kwamba Wanaccm wa Mbarali wamepuuzwa na chama chao , kiasi kwamba hakikuona haja ya kuchagua yeyote miongoni mwao mpaka wakaamua kurudi bungeni kumtoa wa viti maalum aende kugombea Jimbo , na kwa vile na yeye anajua atatangazwa tu mshindi , kwa vile hakuna Tume huru ya Uchaguzi , tegemeo ni DED na Polisi basi kakubali kuachia kiti maalum !
Tukio hili liwe fundisho kwa Wachumia tumbo wa ccm humu Jf na kwingineko , kwamba nyinyi si chochote wala lolote , endelee kutumika kama vifaa tu , hicho chama kina wenyewe , na wenyewe ndio hao wanaoteuana , Nyie endeleeni kulima mpunga kwa mashamba ya kukodi hapo Mbarali , siku mje mgongwe na matreka mufe mkazikwe , mashamba yenu wenyewe lakini kauziwa mburushi anawakodisha tena !
Siwahurumii hata kidogo , Wajinga nyie !
Nakala : Lucas mwashambwa