ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 556
bado uko kihisia zaidi, acha brabra...fatilia maeneo anayopenda kutembelea yoote utagundua kuwa ni "endowed areas " na ni "rich in potential resources" kama ifakara mpunga...
bado uko kihisia zaidi, acha brabra...fatilia maeneo anayopenda kutembelea yoote utagundua kuwa ni "endowed areas " na ni "rich in potential resources" kama ifakara mpunga...
basi kile ni balaaa!Hiko sikijui, ila hiki kizee ni NOMA...
Hiki kizee cha kuzurura...
Hiki kizee cha kuzurura...
Kwani ni zaidi ya baba yako mbona babayo anazurura kama bata aliyekosa kutagaHiki kizee cha kuzurura...
Hiki kizee cha kuzurura...
Watu wanashangaa Helkopta badala ya kusikiliza mkutano!!!!
Watu wanashangaa Helkopta badala ya kusikiliza mkutano!!!!
Watu wanashangaa Helkopta badala ya kusikiliza mkutano!!!!
Hakuna chama chenye ushawishi kwa taifa letu kama chadema!
Mbona watu wachache?CDM mnajua kujipa moyoo eee,huyo Babu Slaa n kama Lipumba tu ikulu wataisilkia kwenye bomba na wataiona wakiwa wanaenda kigambon.