kinauche una genye nn? mm nimemtaja babu slaa wapi kwenye hii thread?hapa nilichangia habari ya kuweka picha.Tatizo la Obama wa Bongo ni njaa. Hawezi kulipwa kama hajatoa neno lo lote linalomhusu Slaa. Kwa sasa walishasema yote. Wakarudia na sasa yamechuja. Kwa hiyo alichoandika ndicho kakiona kipya. Jamani njaa pamoja na kutumika ni fedheha kubwa. Tafuta kazi bwana Obama wa Bongo. Short of that unajitafutia aibu.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
kaenda kutemebelea mashamba yake ay "mpunga" ?? coz huyu jamaa ni bepari wa kutupwa .Katika mwendelezo wa kuchukua maoni ya katiba mpya kutoka kwa wanachama na wapenzi wa CHADEMA, katibu mkuu wa chama Dr Wilbroad Slaa atakuwa hapa mjini ifakara leo kuanzia muda wa saa kumi. Mkutano utafanyika katika viwanja vya kiungani. Dr anatarajiwa kuwasili kwa choper muda wowote kuanzia sasa. Tayari watu wameshaanza kujisogeza. Ntawapatia kile kitachojiri.
kaenda kutemebelea mashamba yake ay "mpunga" ?? coz huyu jamaa ni bepari wa kutupwa .
Ukijakushtuka adui yupo mlangoni. Kalagabaho...Watu wanashangaa Helkopta badala ya kusikiliza mkutano!!!!
Aniulizie bei ya mpunga kwa sasa
tuthibitishie kwa hilo..kaenda kutemebelea mashamba yake ay "mpunga" ?? coz huyu jamaa ni bepari wa kutupwa .
kama kile kihuni kinachoitwa kikwete, kunguka dunia nzima kama vasco dagama..Hiki kizee cha kuzurura...
tuthibitishie kwa hilo..
kama kile kihuni kinachoitwa kikwete, kunguka dunia nzima kama vasco dagama..
Hiko sikijui, ila hiki kizee ni NOMA...