ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,681
dharau hizo sasa mkuu kwa rais wetu mtukutufu slaa.
Yaani hiki kizee ndio kirahisi chenu?
dharau hizo sasa mkuu kwa rais wetu mtukutufu slaa.
Siasa tufanye za ustarabu, nikikutukania baba yako utajisikiaje..... Fanyeni siasa za kikubwa, wekeaneni heshima, wee ni mtu mzima nakuheshimu sana, umeniuzi sana kutukana baba yangu.
Yaani hiki kizee ndio kirahisi chenu?