Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,158
- 17,056
Katika mwendelezo wa kuchukua maoni ya katiba mpya kutoka kwa wanachama na wapenzi wa CHADEMA, katibu mkuu wa chama Dr Wilbroad Slaa atakuwa hapa mjini ifakara leo kuanzia muda wa saa kumi.
Mkutano utafanyika katika viwanja vya kiungani. Dr anatarajiwa kuwasili kwa choper muda wowote kuanzia sasa. Tayari watu wameshaanza kujisogeza. Ntawapatia kile kitachojiri.
Mkutano utafanyika katika viwanja vya kiungani. Dr anatarajiwa kuwasili kwa choper muda wowote kuanzia sasa. Tayari watu wameshaanza kujisogeza. Ntawapatia kile kitachojiri.