Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,077
- 3,607
Atakuwa yupo likizo fupikwani ameacha kutafuna mneli?
Atakuwa yupo likizo fupikwani ameacha kutafuna mneli?
Hii hali ni sawa na kumlinganisha Waziri na Mkuu wa mkoa.Hapo wamebadilishiwa majukumu tu wala hakuna aliyepanda wala kushuka cheo, ila kwa hela za kiwi Muslim kala shavu zaidi, hakuna sehemu yenye umateumate pale polisi Kama uRPC ukiondoa IGP
Aah,wilibroad yuko peace sana,usimharibie banaHilo kabila lililopata cheo Cha kusimamia sheria za usalama barabarani ni shida kubwaa Sana IGP ajipange
Habari Zilizotufikia Hivi Punde, IGP Simon SIRRO Amefanya mabadiliko ya Mkuu wa Trafik Na Kumteua Wilbroad Mutafungwa kuwa Mkuu Mpya wa kikosi cha usalama barabarani. Fortunatus Muslim anaenda kuwa RPC Mkoa wa Morogoro.