Wilaya ya Rombo yaongoza Kitaifa kwa kufunga umeme kwa 100%

We nawe unaona kila mtu MATAGA ama?
Eti huijui Rombo. Kwahiyo unayeijua yote umeambulia nini? Hebu tuambie kwanza kijijini kwenu wapi kisha tuendelee na mada. Kifua kimekujaa kweli kwa hasira.
Amesha declare kuwa kwao Ni kagera,Ni mhaya eti mhaya ambaye kwao Hadi Leo wanalala nyumba za nyasi ndio Ana ubavu wa kuja hapa et kuandika utumbo,akapambane autoe mkoa wake kwenye umaskini maana mkoa wa kagera Ni wa 9 kwa umaskini
 
Bukoba my foot. Ntumba zenu majority mnazojenga kwa matofali ya kuchoma? Vijiji vyenyewe havina mpangilio? Msiba wa ruge mpaka mumefyeka ndo gari zipite? Hebu kaa kwa kutulia
Hahaha umempa za uso mm bahati nzuri kagera naifahamu kwa 90% nasubiri abishe ni muumbue,mwenzie instanbul ananijua vyema
 
Huko si tunaanbiwa pamesuswa na awamu hii au huo umeme umepelekwa na vyama vya ushirika tena kama vilivyojenga lami..

BTW:Kama ni huu wa REA uko kisiasa mno,ukisikia kata imepata umeme utakuta ni taasisi za serikali tu ndo zimeungwa ila wananchi ni kaya tatu tu za kuzindulia Kalemani tena nyumba zilizochoka ili kuwachota mnaosubiria taarifa kwenye mainstream.

View attachment 1691664
Rea Ni uchache sana umeme wa kule upo tangu 1970's
 
The beautiful ROMBOView attachment 1695871
FB_IMG_16117525055426966.jpeg
 
Back
Top Bottom