Wilaya ya Rombo yaongoza Kitaifa kwa kufunga umeme kwa 100%

Aliyesema hayo alifanya utafiti wa kutosha? Bila aibu anaesema asilimia 100, nenda Kijiji cha Mahorosha ukanda wa chini, nguzo zimesimama bila nyaya, sijui wahusika wameenda wapi.
Mangi siku hizi wamechukua sifa za wahaya. Wakiona komenti kama hii lazima washuke na wewe, wanakwambia kwao ni umeme tu hadi kwenye mazizi ya ng'ombe.
 
Mangi siku hizi wamechukua sifa za wahaya. Wakiona komenti kama hii lazima washuke na wewe, wanakwambia kwao ni umeme tu hadi kwenye mazizi ya ng'ombe.
Huyo anakwambia nguzo kadhaa hazina nyaya ktk kitongoji Fulani hiyo haiondoi 100%
Unakuta kitongoji chote kina umeme,Sasa watu 5 au 10 ambao nyaya hazijawekwa ndio useme hakuna umeme?
Yaani rombo vijiji vyote umeme upo na hakuna wilaya yoyote tz Ina umeme vijiji vyote Kama rombo
 
Huyo anakwambia nguzo kadhaa hazina nyaya ktk kitongoji Fulani hiyo haiondoi 100%
Unakuta kitongoji chote kina umeme,Sasa watu 5 au 10 ambao nyaya hazijawekwa ndio useme hakuna umeme?
Yaani rombo vijiji vyote umeme upo na hakuna wilaya yoyote tz Ina umeme vijiji vyote Kama rombo
Sehemu nyingi tu Rombo hazina umeme. Huko Mteri chini mpaka lower road watu wamefunga wiring zaidi ya miaka 5 sasa hakuna umeme mpaka wamekata tamaa.
 
Acheni sfa huko mnabebwa na hai na mosh vjijin
Karibu rombo
IMG_20230627_180950_223.jpg
IMG_20230627_181536_853.jpg
IMG_20230627_114436_613.jpg
 
Sio kweli wewe acha kusifia kwenu ati yaongoza kitaifa umeshawahi kwenda sehemu zingine nchi hii? Labda kama inaongoza kitaifa kwa kutengeneza na kunywa pombe ya mbege na kuwaacha wanawake nyumbani wakifanya kazi peke yao unajisifia wakati tunawajueni nyie.

Unapinga , halafu huna statistics, huna taarifa za kitaalam unaandika taarabu. Pathetic sana
 
Acha kuzingua bro maeneo ya huko mwai bado umeme haujafka Kaya karbu zote za lower road hakuna umeme unaijua rombo kwel ww?
acha kupotosha lowa road ina umeme kuanzia kiwandani kwa njiro mpaka ziwani ndani huko lake sijui nini kwenye ile hoteli pale kuna umeme upande na hio lowa road mpaka utokee hapa lami ya mwika tarakea
 
Hajui huyu
Sasa nipo Rombo nafanya survey ya adhari ya banana wine kwa afya, uchumi na maendeleo ya wana Rombo.

Swala la kaya kuwa na access ya Maji na umeme ni moja ya maswali muhimu ya utafiti huu.

Baada ya siku 30 ripoti itakuwa hadharani.

Namtahadharisha luambo makiadi na wachaga wote viherehere hapa JF mtafute pa kukimbilia.

PS: Halafu we luambo makiadi, mbona naona nyumba za mabanzi tu huku, hizo ghorofa na nyumba za kisasa ziko rombo ya wapi?
 
Sasa nipo Rombo nafanya survey ya adhari ya banana wine kwa afya, uchumi na maendeleo ya wana Rombo.

Swala la kaya kuwa na access ya Maji na umeme ni moja ya maswali muhimu ya utafiti huu.

Baada ya siku 30 ripoti itakuwa hadharani.

Namtahadharisha luambo makiadi na wachaga wote viherehere hapa JF mtafute pa kukimbilia.

PS: Halafu we luambo makiadi, mbona naona nyumba za mabanzi tu huku, hizo ghorofa na nyumba za kisasa ziko rombo ya wapi?
umeenda na ugo ama maana hakuna airport..kama ni basi utakuwa umekutana nazo baaddhi zikiizomea lami....bado ambazo zipondani ya migomba na miti mirefu.....
 
Back
Top Bottom