Wilaya ya Rombo yaongoza Kitaifa kwa kufunga umeme kwa 100%

ACHA MAKASIRIKO MKUU. Sehemu nyingine zipi sasa? Kule umeme kama maji mpaka mabanda ya ng'ombe toka miaka hiyo. Kwa suala la umeme kule mbona hata siyo ishu mkuu? Wewe umefika huko?
Anaweweseka huyo,mwambie aje huku ndan ndan majumba ya kifahari utadhani Paris kumbe Kijijini tu
1862173000.jpeg
 
Acha kuzingua bro maeneo ya huko mwai bado umeme haujafka Kaya karbu zote za lower road hakuna umeme unaijua rombo kwel ww?
Lower road Ni kitongoji Cha Chala Ni kitongoji kipya umeme upo pale "barabara ya mkato" pale Ni kitongoji hicho hicho, isitoshe eneo unalosema Ni very potential area maana Kuna ma shule ya private,zahanati ya katoliki,nk pale Ni mji mpya unaanza bos Ila kitongoji hicho umeme upo tangu zaman
 
Vandu VA mwai vere akili ng'nana Sha sa mburu
Yaani vandu vesesaa tiki. Halafu mwai ipi haina umeme? Maana IBUKONI kwa upande wetu ni mwai na kushuka huko chini lakini kuna maghorofa kibao tu na umeme mbona uko kitambo sana? Mf. Priva amejenga ghorofa late 80s na umeme ulikuwepo na kule kwa sasa huwez hata kupaita porini. Kote kumechangamka.
 
Yaani vandu vesesaa tiki. Halafu mwai ipi haina umeme? Maana IBUKONI kwa upande wetu ni mwai na kushuka huko chini lakini kuna maghorofa kibao tu na umeme mbona uko kitambo sana? Mf. Priva amejenga ghorofa late 80s na umeme ulikuwepo na kule kwa sasa huwez hata kupaita porini. Kote kumechangamka.
UCHAGANI yote vijijin Kuna huduma zote zipo masoko, supermarket, bank nk mtu hawez kwenda mjin kutafuta huduma fulan Kama mikoa mingine.

Kuna mikoa had sasa hv kukuta stationary ni kufunga safari.
 
Mm sio wahuko lakini wenzetu wako vizuri ukilinganisha namaeneo mengine barabara .zamitaani halimashauri au hao mnaita TARURA wanazihudumia vizuri wakati maeneo mengine barabara kuu zinazopita katika vijiji kwenda wilayani hazipitiki haina maana kwamba huko hakuna masikini au nyumba zisizonaumeme zipo kunamengi yakujifunza kule ila wasiwasi wangu kwabaadhi ya maeneo naona ongezeko la watu nihafifu kuna kundi frani linapiga sana pombe.
 
Yaani vandu vesesaa tiki. Halafu mwai ipi haina umeme? Maana IBUKONI kwa upande wetu ni mwai na kushuka huko chini lakini kuna maghorofa kibao tu na umeme mbona uko kitambo sana? Mf. Priva amejenga ghorofa late 80s na umeme ulikuwepo na kule kwa sasa huwez hata kupaita porini. Kote kumechangamka.
UCHAGANI yote vijijin Kuna huduma zote zipo masoko, supermarket,bank nk mtu hawez kwenda mjin kutafuta huduma fulan Kama mikoa mingine.

Kuna mikoa had sasa hv kukuta stationary ni kufunga safarI
 
Pôle Sana mcheza baikoko wa mkuranga, Hakuna popote nchi hii utakuta wilaya ina umeme vitongoji vyote kama sio ROMBO ndio maana ya 100% au huoni maandiko hapo?
Pia mkoa wa KILIMANJARO kwa ujumla umeme vijijin ni 95%
Umeme vijijin huko Kilimandjaro ulianza tangu miaka ya 60 mwishoni
Pia kwa mujibu wa ripoti ya serikali,mkoa wa KILIMANJARO Ni mkoa wa 2 watu wake kuishi maisha bora na makaz Bora kwa 90%
Pia kielimu,Ni mkoa wa kwanza tz kuwa na sekondar nyingi
Pia ni mkoa pekee tz ambao vijijin kuna miundombinu toshelezi kwa karibia 80% mwananchi wa kule vijijin KILIMANJARO anapata huduma zote karibu halazimiki kwenda mjin kila kitu ni vijijin kwanzia bank, supermarket nk
Niendelee?View attachment 1689916
Mkuu acha basi usiendelee umeshaweka data inatosha. Ila umeshaenda kule kwa kina Msuya nasikia bulb zimewekwa hadi kwenye migomba yote zamani kulikuwa na komba kwa sasa wamekimbia wote shauri ya mwanga kila mgomba.
 
Back
Top Bottom