Moja kwa moja kwenye hoja kuu. Hapa wilayani Ngara mkoani kagera hakuna mafuta aina ya petrol Leo siku ya nne. Wilaya hii Ina vituo vya mafuta takriban vinane vya mafuta. Lakini Kati ya hivyo vitano vinamilikiwa na kampuni moja inaitwa ngara oil.
Kampuni hii imekuwa na tabia ya kusitisha kuuza mafuta hasa pale zinapotokea tetesi kuwa mafuta yatapanda Bei siku chache zijazo ili wapige faida zaidi pasipokujali raia wanaoteseka kwa KUKOSA huduma hiyo hasa wagonjwa wanaowahi mahospitalini.
Kwa mfano bunge lilipokuwa linajadili bajeti ya mwaka huu na kupendekeza nyongeza ya sh.100 kwa Lita moja ya petroli kuanzia tarehe 1 July, vituo vyote vya mafuta vinavyomilikiwa na ngara oil walisitisha kutoa huduma kwa kisingizio kwamba mafuta yameisha kumbe wanasubiri ifike tarehe moja July ili wapige hela.
Kweli bana ilipofika tarehe moja wakaanza kuuza mafuta kwa Bei mpya iliyotangazwa. Baada Kama ya wiki moja Kama mnavyofahamu mafuta yalishuka Bei tena. Hapo hapo ngaraoili wakasitisha kuuza mafuta kwa kisingizio kuwa yameisha.
Kituo kioja kilijitahidi kutoa huduma lakini mwisho kilizidiwa nguvu kwani mahitaji yalikuwa makubwa Sana kuliko uwezo wake. Sasa Leo ninsiku ya nne wilaya nzima haina mafuta. Vishoka wanauza Lita moja kwa sh 11,000 na bado hayapatikani.
Kwa ufupi Hali ni mbaya na madhara yake ni makubwa wagonjwa wanakosa usafiri wa kwenda hospitalini, wanafunzi hawana usafiri wa kwenda shule,wafanyakaz hawaend makazini, nauli zimepanda Karib Mara tatu kiufupi ni kero Kero kero.
Pia soma > Hali ya Mafuta ya Petroli Liwale ni tete kwa zaidi ya wiki sasa
Pia soma > Manyara: Upatikanaji wa Petroli Mbulu ni changamoto, Wananchi wanahaha kupata huduma
Kampuni hii imekuwa na tabia ya kusitisha kuuza mafuta hasa pale zinapotokea tetesi kuwa mafuta yatapanda Bei siku chache zijazo ili wapige faida zaidi pasipokujali raia wanaoteseka kwa KUKOSA huduma hiyo hasa wagonjwa wanaowahi mahospitalini.
Kwa mfano bunge lilipokuwa linajadili bajeti ya mwaka huu na kupendekeza nyongeza ya sh.100 kwa Lita moja ya petroli kuanzia tarehe 1 July, vituo vyote vya mafuta vinavyomilikiwa na ngara oil walisitisha kutoa huduma kwa kisingizio kwamba mafuta yameisha kumbe wanasubiri ifike tarehe moja July ili wapige hela.
Kweli bana ilipofika tarehe moja wakaanza kuuza mafuta kwa Bei mpya iliyotangazwa. Baada Kama ya wiki moja Kama mnavyofahamu mafuta yalishuka Bei tena. Hapo hapo ngaraoili wakasitisha kuuza mafuta kwa kisingizio kuwa yameisha.
Kituo kioja kilijitahidi kutoa huduma lakini mwisho kilizidiwa nguvu kwani mahitaji yalikuwa makubwa Sana kuliko uwezo wake. Sasa Leo ninsiku ya nne wilaya nzima haina mafuta. Vishoka wanauza Lita moja kwa sh 11,000 na bado hayapatikani.
Kwa ufupi Hali ni mbaya na madhara yake ni makubwa wagonjwa wanakosa usafiri wa kwenda hospitalini, wanafunzi hawana usafiri wa kwenda shule,wafanyakaz hawaend makazini, nauli zimepanda Karib Mara tatu kiufupi ni kero Kero kero.
Pia soma > Hali ya Mafuta ya Petroli Liwale ni tete kwa zaidi ya wiki sasa
Pia soma > Manyara: Upatikanaji wa Petroli Mbulu ni changamoto, Wananchi wanahaha kupata huduma