Wilaya mpya ya Kisesa-Mwanza

Wilaya mpya ya Kisesa-Mwanza

Pia mheshimiwa alisema akipita basi kikao cha kwanza cha baraza la madiwani wa jiji la Mbeya kiwe kinahusu jinsi ya kugawa jiji hilo kutoa wilaya mbili.
 
stendi ya naymomngolo,soko na maonyesho ya nanenane watu wanayabeba duh wamecheza kama pele pole sana ilemela kupoteza nyamongolo
 
Wilaya ya Magu imenyang'anywa chanzo cha mapato! Itapumulia mashine!
Magu inapumulia mashine kitambo mwanzo imenyaganywa busega na sasa kisesa, na shuguli kubwa ya kiuchumi hii wilaya iliyokua inaitegeme kuongeza mzunguko wa ela ilikua ni kilimo cha pamba ambacho kimeshakufa kitambo
Hakika wilaya hii itazidi kudumaa, zamani magu ilikua sawa na miji kama Bunda Geita Sengerema Tarime lakini sasa huwezi kuiweka level moja ni hizi miji yahani kwa ufupi hii wilaya inadumaa badala ya kuendelea
 
Kuipata Wilaya ya Kisesa Jimbo la Usagara Imefanyika kama ifuatavyo.

Wilaya ya Misungwi imetoa Kata 04 yaani
1. Kata ya Idetemya
2. Kata ya Usagara
3. Kata ya Fella
4. Kata ya Kanyerere.

Wilaya ya Magu imetoa yaani
1. Kata ya Kisesa
2. Kata ya Bujora
3. Kata ya Bukandwe
4. Kata ya Bujashi
5. Kata ya Mwamanga
6. Kata ya Kongoro


Wilaya ya Ilemela imetoa kata 03 yaani
1. Kata ya Nyamhongolo
2. Kata ya Sangabuye
3. Kata ya Kayenze

Hizo ndizo kata zitakazo unda Wilaya ya Kisesa Jimbo la Usagara.
Chanzo tafadhali,,
 
Jiji la Mbeya ? Mbona sikuelewi ?
Pia mheshimiwa alisema akipita basi kikao cha kwanza cha baraza la madiwani wa jiji la Mbeya kiwe kinahusu jinsi ya kugawa jiji hilo kutoa wilaya mbili.
 
Wilaya mpya ya Itakuwa na Kata kama zilivyo kwenye Jimba la sasa la uchaguxi Kisesa. Hakuna jimbo la Usagara
 
Kuipata Wilaya ya Kisesa Jimbo la Usagara Imefanyika kama ifuatavyo.

Wilaya ya Misungwi imetoa Kata 04 yaani
1. Kata ya Idetemya
2. Kata ya Usagara
3. Kata ya Fella
4. Kata ya Kanyerere.

Wilaya ya Magu imetoa yaani
1. Kata ya Kisesa
2. Kata ya Bujora
3. Kata ya Bukandwe
4. Kata ya Bujashi
5. Kata ya Mwamanga
6. Kata ya Kongoro


Wilaya ya Ilemela imetoa kata 03 yaani
1. Kata ya Nyamhongolo
2. Kata ya Sangabuye
3. Kata ya Kayenze

Hizo ndizo kata zitakazo unda Wilaya ya Kisesa Jimbo la Usagara.
mmmh kayenze ipo igombe kutoka igombe mpaka misungwi unapita nyamagana mbn Nyamagana haijaguswa?
 
Wilaya mpya ya Itakuwa na Kata kama zilivyo kwenye Jimba la sasa la uchaguxi Kisesa. Hakuna jimbo la Usagara
Hakuna kitu kama hicho. Kwa sababu kuna jimbo jingine linaitwa Kisesa huko Meatu. Hivyo hakuwezi kuwa na majimbo mawili yenye majina yanayofanana katika nchi moja. Ndio maana Jimbo tarajiwa likaitwa Usagara.
 
Back
Top Bottom