Wikipedia - Tanzania

Bantugbro

JF-Expert Member
Feb 22, 2009
4,476
4,250
Wadau,

Nimetoka ku-restore Coat of Arms yetu ktk wikipedia ambayo kwa kusikitisha ilikuwa inadisplay coat of Arms ya Rwanda!!! sasa najiuliza hili lilitokea vipi? ama kuna watu wanaotuhujumu kwakuwa sisi hatuko makini na pia kutojali vyakwetu ama ni ule ugonjwa wa aaagh fulani atafanya!

AMANI
 
Wadau,

Nimetoka ku-restore Coat of Arms yetu ktk wikipedia ambayo kwa kusikitisha ilikuwa inadisplay coat of Arms ya Rwanda!!! sasa najiuliza hili lilitokea vipi? ama kuna watu wanaotuhujumu kwakuwa sisi hatuko makini na pia kutojali vyakwetu ama ni ule ugonjwa wa aaagh fulani atafanya!

AMANI

Was just an error.
Maana sasa mnaelekea kwenye kutaja ufisadi.
 
Was just an error.
Maana sasa mnaelekea kwenye kutaja ufisadi.

Paka,
Watu sasa tumeshapagawa, kwani hata ufisadi si ulianza hivihivi isije kesho wakaaanza kukleim wilaya zetu za kaskazini magharibi!
 
Back
Top Bottom