Wiki ya kishindo cha JPM inaanza Desemba 7

Hivi unategemea haya yote ayafanye na kuyatatua ndani ya mwezi mmoja aliokuwa madarakani? Kama ulisikiliza inaugural speech yake, alitoa tamko kuhusu yote hayo kwa ujumla! Labda ubongo wako uliutega kutaka kusikia majina hivyo ukamiss!
 

sawa mkuu. lakini sasa ulitaka kwa mwezi huu mmoja afanye yote hayo uliyotaja? mi naona kwakua umeweza kuyaainisha, jitahidi orodha hii imfikie na kumwomba ahakikishe kitumbulio chake kinapita huko. si busara kubeza juhudi anazofanya JPM. kuna haja ya kumpongeza na kumpa support ya kutosha ili afanye kadili ya kiu ya Watanzania.
nkuru
 
Hivi unategemea haya yote ayafanye na kuyatatua ndani ya mwezi mmoja aliokuwa madarakani? Kama ulisikiliza inaugural speech yake, alitoa tamko kuhusu yote hayo kwa ujumla! Labda ubongo wako uliutega kutaka kusikia majina hivyo ukamiss!


Am insisting on him... sio kwamba afanye ghafla... we have to remind him... na sio kwamba simwamini...
Namwamini alot Mh. Magufuli... ila ajue TIME is a very dangerous thing in life... sie BEST MATHEMATICIAN like him, tunajua nini maana ya muda.... pia kuna issues ziko wazi kabisa like UMEME esp. IPTL Capacity Charges... linatuumiza kila siku... ule ni uwizi ingetakiwa aanze nao hawa pia... ASAP...

All in all, CCM Mungu alimbakiza MAGUFULI TU... wengine wote walikuwa kama ww, vichwa vimeoza dead head... only body is walking...!!
Do you really know what is INAGURAL SPEECH...!!? 🐗🐗 wee

Na Magufuli anafanya kweli... like mpinzani vile... umesikia mpinzani yeyote akimlaumu..? Sbb anafanya vema... but aongeze speed... aende kote kote...!!😨
 
Kweli hulewi unaitwa pre eta unataka akupe nini only month one tilion sana acha mahaba ya siasa wewe au unandugu yako kigogo wa ufisadi unajihofu
Anataka huyo kigogo wa ufisadi wa tembo na twiga afichuliwe maana wanamjua...sidhani kama anaogopa kitu hapa.
 
mbona hajagusa ile ICD ya shauri moyo ya mnene wa ccm?
 
Hata mtume hawezi timiza yote hayo ndani ya mwezi..
 
Upeo wa kufikiri wa mtanzania unastaajabisha sana.
 
Siwezi kutikiswa na kishindo cha kuvamia taasisi zake bila taarifa. Naam, amini amini nawaambieni nitatikiswa pale atakapowakamata BWM & JMK na viongozi wengine wakubwa walioliingiza taifa katika hasara kubwa. Otherwise, aendelee tu na safari yake.
 
Kila mtu ana vipaumbele vyake. Let him work on his priorities.
 
Preta hizo ni hasira za mkizi,hayo aliyoyafanya hadi sasa Magufuli ,Lowassa asingefanya hata kwa miaka 10.Wengi wenu hasa watu wa Lowassa kwa sababu zenu binafsi hamuoni kazi anayoifanya Magufuli,poleni raisi ni Magufuli na sote tumuunge mkono,treni ndio ishaondoka hivyoo.
 
It took more than 10yrs to cause this damage, you guys need a one-month-fix...! Nchi imejaa mbatata wengi sana hii..
 

Magufuli naye ni mtu. Hawezi kufanya vitu vyote hivyo kwa wakati mmoja. Ni hatua baada ya hatua
 
Siwezi kutikiswa na kishindo cha kuvamia taasisi zake bila taarifa. Naam, amini amini nawaambieni nitatikiswa pale atakapowakamata BWM & JMK na viongozi wengine wakubwa walioliingiza taifa katika hasara kubwa. Otherwise, aendelee tu na safari yake.
Katiba ya nchi yako unaijua, umewahi kuisoma au umeamua kujiandikia ili mradi tu?
 

Habari za moshi,ushaenda kuhesabiwa?
 

Nitakujibu Feb 2016............nadhani siku 100 zitatimia mwezi huo.........kwa sasa akili haitaki kuona chochote............

kila nikiwaza twiga......ngozi za chui na tembo........pumzi yangu ina stop..........ghafla bin vuuuuuuuuuuuuu.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…