Wigo

Wigo

Idd hashim

Member
Joined
Jan 4, 2013
Posts
79
Reaction score
17
Kiongozi mmoja wa dini fulani alikuwa akiwashauri waumini wenzake kuhusu kuzungushia wigo makaburi ya ndugu zao! Ghafula mlevi mmoja akasema mimi nna swali! Kiongozi: we uliza tu hapa tunashauriana!
Mlevi: kwani umeletewa mashtaka kwamba kuna marehemu huwa wanatoroka mpaka tuwazungushie wigo?
Watu wote wakabaki wameduwaa!
 
Kiongozi mmoja wa dini fulani alikuwa akiwashauri waumini wenzake kuhusu kuzungushia wigo makaburi ya ndugu zao! Ghafula mlevi mmoja akasema mimi nna swali! Kiongozi: we uliza tu hapa tunashauriana!
Mlevi: kwani umeletewa mashtaka kwamba kuna marehemu huwa wanatoroka mpaka tuwazungushie wigo?
Watu wote wakabaki wameduwaa!
Hayo maneno niliyobold yanaharibu utamu wa joke! Mwache msomaji afikirie mwenyewe kilichotokea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom