ndugu zake nimewatunza mpaka wamefika chuo,,, kwa pesa yangu bila tatizo lolote mangi.... ningekuwa siwapendi wangeondoka longi,,,, kwa nn aibe nyumbani,,,, kwa ukaribu ni simple,,,,,sivyo udhaniavyo mamngiKosa kubwa ni kumzuia mwanamke kusaidia ndugu zake.
Ebu kaa naye uongee naye wewe hadi polisi kwajili ya mchele na vitunguu!!!!!!????
Mkuu,,, wadogo zake nimewasomesha mie kwa fedha zangu mwenyewe,,,, kuanzia form 1 mpaka 6, mwingine mpaka chuo,,,, hivi ni msaada gani tena mie natakiwa kuwapa, sio kufuatilia mambo ya jikoni, ni wajibu wangu kujua everything around my corner meku....nimemkanya sio once or twice,,, kigezo sina ushahidi......
Jamani mie ni mwanamke, lakini naheshimu hela ya mshkaji kinoma, hata yeye kwenye hilo ananikubali.
Hata kama nitasaidia ndugu, lazima tukubaliane hata kwa ushawishi wa miezi kadhaa. Hakuna kitu kibaya kama mume kukosa appreciation ya afanyacho nyumbani kwake mwenyewe.
Hii ndoa ina tatizo kubwa sana.
Hata kama umewasomesha hadi chuo lakini bado unatakiwa kukaa chini na mkeo muangalie mtawasaidiaje waondokane na kuwa tegemezi!
Kama mnaweza kuwatafutia shughuli ya kufanya itakuwa vyema au kibarua!
Lakini nina uhakika kwa maelezo unayo yatoa hakuwai kukaa chini na mkeo na mksongea kama marafiki na ukaonesha unaguswa na hilo tatizo!
Hebu tafuta njia nzuri zaidi ya kutatua hili tatizo hii ya kupelekana polisi na shemeji zako+mkeo kwa sababu chakula si afya kwa familia yako!
Hili swala lazima ujaribu kulitatua bila kutumia nguvu maana litaendelea kumuathiri mkeo na hamtakuwa na amani kwenye ndoa yenu!
MO11 hawa wanawake ni janga kila thread humu ndo hawa hawa waliosoma,hawafai kabisa tuwaogope kama ukoma
mkuu hapa umetengeneza tatizo mwenyewe na unaendelea kutengeneza mengine makubwa, huwezi mweka ndani mkeo kisa chakula mkuu, ingawa mambo madogo ni kipimo cha makubwa lakini kwa hili na hapa ulipofikia kama ni kweli basi wewe ndiye mwenye matatizo mkuu, kama mkeo asingekua mwaminifu katika mahusiano ya ndoa hilo ni tatizo lakini mengine huwa yanafuatiliwa kiasi kidogo na kuyaacha ila si kwa kiwango hiki, ajabu sana hii...
kaka mie nipigana kivyangu mpaka hapa nilipo,,,,, usitengeneze hadithi......yes nimefanya kumfundisha adabu,,,,, unaweza kusema chochote ila hutageuza mada,,, karibu
hapa talaka kiroho safi haiangalii miaka mingapi tumeishi,kwanza mi si miaka 10 tu hata ndani ya mwaka siibiwituwapige vita kwa mikono na miguu jamaa kagharamia miaka 10 na bado anaendelea kuiba
bado aliwagombanisha na ndugu zake au limbwata
Kosa kubwa ni kumzuia mwanamke kusaidia ndugu zake.
Ebu kaa naye uongee naye wewe hadi polisi kwajili ya mchele na vitunguu!!!!!!????
pole sana kaka, tena pole hasaa! yanayokufika wewe ni madogo sana, kuna ndugu yangu mmoja yalimfika mazito, MAZITO!
Jamani mie ni mwanamke, lakini naheshimu hela ya mshkaji kinoma, hata yeye kwenye hilo ananikubali.
Hata kama nitasaidia ndugu, lazima tukubaliane hata kwa ushawishi wa miezi kadhaa. Hakuna kitu kibaya kama mume kukosa appreciation ya afanyacho nyumbani kwake mwenyewe.
Hii ndoa ina tatizo kubwa sana.
hapa talaka kiroho safi haiangalii miaka mingapi tumeishi,kwanza mi si miaka 10 tu hata ndani ya mwaka siibiwi
Umebakia wewe na wachache wengine wa mfano, waume wengi yanawakuta haya na bila hata kuelezwa matumizi ya pesa za wenzi wao. Big up!!!
Wewe ni mjinga suala dogo kama hili linakushinda hata unamlaza mkeo polisi akiliwa na maafande utasema hakupendi,pumbavu kabisa na inaonyesha usivyo mpenda kwanini usizungumze nae na ujue namna ya kumsaidia kuhudumia wadogo zake?mimi ni mwanaume kama wewe ila umenikera sana ungekuwa jirani ningekunyuka makofi kabisa.Wewe ni kiongozi wa familia mwite mkeo kaa nae chini kwa upendo ujue namna ya kumsaidia na sio kukimbilia JF