Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,091
- 165,234
Ufanyeje?! Fanya hivo hivo
"Mchepuo" wa science au art mkuu?Wife amefuma simu yangu na kukuta SMS nilizokua nachat na mchepuko tukipanga kwenda kula mzigo na ahadi nyingi za uongo na kweli maana ndo ilikua mara ya kwanza basi Wife amechukua namba ya uyo mtoto na kumtukana sana na kumtisha kwamba atamloga timbwili la Wife nimelimaliza japo haikuwa kazi ndogo sasa siwezi kubali kuacha uyu mtoto mzuri mweusi tatizo ni vile vitisho mtoto hataki kunielewa maana alikua hajui kama nina mke naomba ushauri nifanyeje nimpate tena
Post sent using JamiiForums mobile app
Heshimu ndoa yakoWife amefuma simu yangu na kukuta SMS nilizokua nachat na mchepuko tukipanga kwenda kula mzigo na ahadi nyingi za uongo na kweli maana ndo ilikua mara ya kwanza basi Wife amechukua namba ya uyo mtoto na kumtukana sana na kumtisha kwamba atamloga timbwili la Wife nimelimaliza japo haikuwa kazi ndogo sasa siwezi kubali kuacha uyu mtoto mzuri mweusi tatizo ni vile vitisho mtoto hataki kunielewa maana alikua hajui kama nina mke naomba ushauri nifanyeje nimpate tena
Post sent using JamiiForums mobile app
Ni shida wakwangu aliondoka akaenda kwao wiki nzima anapiga Cm kwa ndugu zangu anawambia tumehachana kwangu harudi tena alirudi mwenyeweNishasahau ila usiombee maana mtu analala na nguo saba upande haguswi, ukiomba tu unaambiwa ' akakupe huyo mi nimezeeka'
Post sent using JamiiForums mobile app
Story za kusadikika usijaliJf limekuwa jukwaa la watu kuomba ushaur wa ksengeeee
Post sent using JamiiForums mobile app
Asante mkuu nitajitahidiitakuwa ngumu kukubali tena km kajua una mke ila nivizur ukarudisha mapenz kwa mkeo may be kakuepusha na maradh
Post sent using JamiiForums mobile app
Asante mkuuPambana na hali yako, kwani mkeo hakutoshi?
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
mwambie mkeo ampigie tena mchepuko wako amwambie hatomroga tena ili ukubaliwe ombi lako.
Fuata ushauri huu nadhani utakufaa...Maradhi mengi mkuu hivyo huna budi kutuliza ki*ba*mia chakoBaki njia kuu
Achana na mchepuko![]()
![]()
![]()
![]()
![]()


