Wife kanitibulia kwa mchepuko

Wife kanitibulia kwa mchepuko

Wife amefuma simu yangu na kukuta SMS nilizokua nachat na mchepuko tukipanga kwenda kula mzigo na ahadi nyingi za uongo na kweli maana ndo ilikua mara ya kwanza basi Wife amechukua namba ya uyo mtoto na kumtukana sana na kumtisha kwamba atamloga timbwili la Wife nimelimaliza japo haikuwa kazi ndogo sasa siwezi kubali kuacha uyu mtoto mzuri mweusi tatizo ni vile vitisho mtoto hataki kunielewa maana alikua hajui kama nina mke naomba ushauri nifanyeje nimpate tena

Post sent using JamiiForums mobile app
"Mchepuo" wa science au art mkuu?
 
Wife amefuma simu yangu na kukuta SMS nilizokua nachat na mchepuko tukipanga kwenda kula mzigo na ahadi nyingi za uongo na kweli maana ndo ilikua mara ya kwanza basi Wife amechukua namba ya uyo mtoto na kumtukana sana na kumtisha kwamba atamloga timbwili la Wife nimelimaliza japo haikuwa kazi ndogo sasa siwezi kubali kuacha uyu mtoto mzuri mweusi tatizo ni vile vitisho mtoto hataki kunielewa maana alikua hajui kama nina mke naomba ushauri nifanyeje nimpate tena

Post sent using JamiiForums mobile app
Heshimu ndoa yako

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Nishasahau ila usiombee maana mtu analala na nguo saba upande haguswi, ukiomba tu unaambiwa ' akakupe huyo mi nimezeeka'

Post sent using JamiiForums mobile app
Ni shida wakwangu aliondoka akaenda kwao wiki nzima anapiga Cm kwa ndugu zangu anawambia tumehachana kwangu harudi tena alirudi mwenyewe

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Panga nae miadi, akiingia kingi unatupia mistari ya kumlainisha!! Jitahidi kutoa hata chozi na kakamasi kwa mbali akuone unaongea ukweli, atakuonea huruma!!
 
itakuwa ngumu kukubali tena km kajua una mke ila nivizur ukarudisha mapenz kwa mkeo may be kakuepusha na maradh

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Pambana na hali yako, kwani mkeo hakutoshi?

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
mwambie mkeo ampigie tena mchepuko wako amwambie hatomroga tena ili ukubaliwe ombi lako.
 
itakuwa ngumu kukubali tena km kajua una mke ila nivizur ukarudisha mapenz kwa mkeo may be kakuepusha na maradh

Post sent using JamiiForums mobile app
Asante mkuu nitajitahidi

Post sent using JamiiForums mobile app
 
mkuu haya mambo magumu michepuko mingine huwa inadatisha

Post sent using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom