Mtu ukiamua kuwa mzinzi basi inabidi ukubali na mavuno yake yote, kama vile kufumaniwa, ukimwi, kisonono, kaswende, ukurutu, Chlamydia nk. Pia kuna kufilisika ki-uchumi kunakotokana na kuhudumia mchepuko kwa nguvu zako zote. Kusahau kumhudumia mkeo kiasi cha kumfanya naye achepuke. Kusahau kuwahudumia watoto wako na hivyo kuwafanya wasiwe na maendeleo mazuri shuleni (wawe choka mbaya watarajiwa).
Nakushauri muangukiea mkeo, utubu na usiendelee tena na huu mchepuko. Hela utakazo ndunduliza (kawaida zingeenda kwa mchepuko), basi utaamua wewe na mkeo mzitumiaje. Kmua ni ile ile, tofatuti ni "minjonjo" tu.
Nakushauri muangukiea mkeo, utubu na usiendelee tena na huu mchepuko. Hela utakazo ndunduliza (kawaida zingeenda kwa mchepuko), basi utaamua wewe na mkeo mzitumiaje. Kmua ni ile ile, tofatuti ni "minjonjo" tu.