Wife kanitibulia kwa mchepuko

Wife kanitibulia kwa mchepuko

Hiku watakuzingua

Ongea na wife

Atakupa ushauri mzuri ufanyaje ili umpate huyo black-beauty
 
Hivi mnapooa mnaoa kwasababu wengine wanaoa au mnaoa ili muonekane mumeoa?najiuliza kimya kimya, na mkeo akiwa na mchepuko si ni sawa tu, ujue unapotoka kimwili na mtu mwingine kuna maagano mengi sana ya kiroho unakuwa connected nayo,(nitatafuta muda nilizungumzie kwa mapana) sasa bas huyo mwanamke unayetaka kuchepuka nae kama ana tabia za kimalaya believe me or not hzo tabia atakurithisha ww kiroho na mkeo atazirithi pia kupitia ww kiroho kisha mwsho wa siku na yeye atagegedwa
 
Ndo aina ya maisha mnayoishi kwa sasa??hongereni sana.Leo.sina zaidi ya kuwapongeza.

Post sent using JamiiForums mobile app
Hapana.. Mambo shwari ,,konakona zimeisha

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wife amefuma simu yangu na kukuta SMS nilizokua nachat na mchepuko tukipanga kwenda kula mzigo na ahadi nyingi za uongo na kweli maana ndo ilikua mara ya kwanza basi Wife amechukua namba ya uyo mtoto na kumtukana sana na kumtisha kwamba atamloga timbwili la Wife nimelimaliza japo haikuwa kazi ndogo sasa siwezi kubali kuacha uyu mtoto mzuri mweusi tatizo ni vile vitisho mtoto hataki kunielewa maana alikua hajui kama nina mke naomba ushauri nifanyeje nimpate tena

Post sent using JamiiForums mobile app
Mkuu usiteme Big G kwa karanga za kuonjeshwa. Penzi la siku moja lisije kuponza ukaharibu ndoa yako mkuu kuwa makini umepata mke mwelewa amesamehe kesho ata kugeuzia kibao atoke yeye uje hapa uanze omba ushauri tena baki njia kuu axha michepuko

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wife amefuma simu yangu na kukuta SMS nilizokua nachat na mchepuko tukipanga kwenda kula mzigo na ahadi nyingi za uongo na kweli maana ndo ilikua mara ya kwanza basi Wife amechukua namba ya uyo mtoto na kumtukana sana na kumtisha kwamba atamloga timbwili la Wife nimelimaliza japo haikuwa kazi ndogo sasa siwezi kubali kuacha uyu mtoto mzuri mweusi tatizo ni vile vitisho mtoto hataki kunielewa maana alikua hajui kama nina mke naomba ushauri nifanyeje nimpate tena

Post sent using JamiiForums mobile app
Mwambie huyo mchipuke kama hataki kuchipuka na wewe basi Na Wewe utamloga Mara mbili

Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mwambie huyo mchipuko kama hato kwichikwichi na wewe utamloga mala ya pili na asije akakulaumu
Alafu uje kutupa jibu

Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
 
chakufanya mtoe wasiwasi mrs mdgo a.k.a mchepuko,mwambie huwez kulogwa ni vitisho tu,alafu mdanganyie hela,lakin mkisex mkijikuta mmeganda IME KULA KWENU!!!
 
hamna kitu inaumaga kama hii, wife anakupeperushia mchepuko kabla hujautindua, hapo ndo nakomaaga mpaka nitindue angalau mara moja
 
Wife amefuma simu yangu na kukuta SMS nilizokua nachat na mchepuko tukipanga kwenda kula mzigo na ahadi nyingi za uongo na kweli maana ndo ilikua mara ya kwanza basi Wife amechukua namba ya uyo mtoto na kumtukana sana na kumtisha kwamba atamloga timbwili la Wife nimelimaliza japo haikuwa kazi ndogo sasa siwezi kubali kuacha uyu mtoto mzuri mweusi tatizo ni vile vitisho mtoto hataki kunielewa maana alikua hajui kama nina mke naomba ushauri nifanyeje nimpate tena. Post sent using JamiiForums mobile app
Pole..sina ushauri kwenye zinaa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom