wakuu nashukuru kwa mawazo yenu..ila ikweli hakuna mwanaume mjinga wa kumpiga mke wake bila kosa..jst from no where..ki ukweli alinibore sana...anamatusi na majibu mabaya sana...nimevumilia sana..Nway ngoja niende polisi kujua kpi kitaendelea
Hayatuhusu. This is your private business.
Mkeo naye ni mala.ya tu kama walivyo wengine pengine kuna dereva wa boda boda anamzingua;Jipange vizuri.Hakikisha unaenda pale kituoni na watu kama wawili wakukuwekea dhamana;Na usiende bila pesa, unajuwa tena hii nchi imeharibika.
usitetee ujinga ww...
Niogope kumkanya mke wangu kisa tu atanipeleka polis?
Yaan ningekuwa mm ningefurahi sana kitendo cha kunipeleka polis.. Tungenyooshana vzr sana
sitetei ujinga lakini kama mwanaume anatumia akili yake vizuri huyo mwanamke hana sababu ya kumpeleka polisi lakini yeye kaamua kutumia nguvu ya kumpiga na yeye mke kaamua aende polisi kushtaki sasa si uende polisi ukapigane nao si uko na nguvu za ziada? mwanamke mwenye matusi kuna dawa yao wala sio kipigo ukimpa hiyo dawa atakuheshimu milele.kuna dawa nyingi nzuri tu wanaume wanaweza zitumia kuwa manage wanawake na wala sio kipigo. kipigo ni kwa weak men tu. strong men they know how to manage their wives without kipigo na wananyooka kwenye mstari kabisa.
kuna wanawake wenye ubongo wa kuku ,,unamuonya lakn bado hakuelewi kwann nguvu ya ziada istumike? Sema jamaa ni muoga ningekuwa mm ningemuonesha angekoma kukimbilia polis
kwa hiyo ukimpiga ubongo utabadilika uwe wa binadamu? tena kama ukimjua ana matusi na unamuonya hasikii mbona kuna njia za kumkomesha tafuta wazee wazuri wakufunde. Usitumie nguvu ukitumia nguvu it means na wewe ubongo ni wa kuku pia.
wakuu nashukuru kwa mawazo yenu..ila ikweli hakuna mwanaume mjinga wa kumpiga mke wake bila kosa..jst from no where..ki ukweli alinibore sana...anamatusi na majibu mabaya sana...nimevumilia sana..Nway ngoja niende polisi kujua kpi kitaendelea