Michosho
JF-Expert Member
- Mar 17, 2012
- 662
- 651
Haya mambo ya haki za wanawake ni tabu tupu, jana nimemchapa kibao wife tumezaa nae mtoto mmoja miaka miwili sasa.
Leo asubuhi kaamka kumbe kaenda polisi kunishitakia jioni hii napata barua ya kwenda kesho polisi sababu ya kumchapa kibao ni maneno yake machafu ya kila mara ambapo nilishamkataza asiwe ananiambia kwani ananikwaza.
Amaniambia maneno machafu ambayo si kweli na zaidi mzee mwenye nyumba maneno hayo alisha mkataza kwani siyo kweli na wala siyo mazuri.
Wadau nishaurini nini nifanye kesho pale polisi na hadi sasa hayupo home na wala sijui yuko wapi.
Je polisi kwa matatizo kama hayo ya ndoa huwa wanasimamia wapi?
Leo asubuhi kaamka kumbe kaenda polisi kunishitakia jioni hii napata barua ya kwenda kesho polisi sababu ya kumchapa kibao ni maneno yake machafu ya kila mara ambapo nilishamkataza asiwe ananiambia kwani ananikwaza.
Amaniambia maneno machafu ambayo si kweli na zaidi mzee mwenye nyumba maneno hayo alisha mkataza kwani siyo kweli na wala siyo mazuri.
Wadau nishaurini nini nifanye kesho pale polisi na hadi sasa hayupo home na wala sijui yuko wapi.
Je polisi kwa matatizo kama hayo ya ndoa huwa wanasimamia wapi?