Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,307
Mkuu mimi sisemi kitu,kwangu ndio usisema ila navumilia tu.mpaka sasa najiandaa kumuachia kila kitu nianze maisha upya.hatufunga ndoa,tuna watoto wawili.
Ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha!Mkuu mimi sisemi kitu,kwangu ndio usisema ila navumilia tu.mpaka sasa najiandaa kumuachia kila kitu nianze maisha upya.hatufunga ndoa,tuna watoto wawili.
Watu wengi sana wanapenda kutumia "kumbe siko peke yangu" kujipa moyo. Hata kama hauko peke yako does it change the situation? Nani amefanya survey ya ndoa za watu na kuja na matokeo kuwa wote wanaishi na matatizo kama uliyoeleza.
Shughulikia tatizo lako kwani hata kama mko mia bado hamsaidiani kupunguza matatizo. Tatizo liko pale pale...wote nyumba mnaiona chungu.
Kwa kukusaidia tu nachoona hapo wewe pia una tatizo...ilikuwaje akawa anabadilika taratibu taratibe na wewe ukawa unamwacha tuuu. Kwa nini unampa ela ya mafuta na yeye ana kazi yake? Usipompa hataenda kazini??? Au atakunyima??? Mnawaendekeza wenyewe...wakikomaa mnakuja kulalamika humu..
Ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha!
Ni mke wangu wa ndoa ambaye tunakaribia kutimiza mwaka mmoja wa nwife material.
Siku zote tulishirikiana kwa kila jamb
UPDATES
Jana asubuhi aliniomba pesa ya fuel na lunch wakati anakwenda job,kwa kuwa sikuwa na hela ya kutosha na mimi gari yangu inataka fuel nikataka nimpe ATM card yangu akachukue hela (ATM ipo jirani tu na nyumbani) akakataa na ikawa ugomvi nikaona isiwe tabu nikampa 10,000 aweke hata lita 5 then mchana akatoe hela kwenye account yake.
Hilo lilikuwa kosa kubwa,toka jana jioni aliporudi home amenuna na usiku akaamua kulala chumba kingine leo asubuhi amekuja chumbani kunidai pesa aliyonunulia keki ya birthday ya baba yangu na hela aliyomtumia bibi yangu juzi hapa kwenye sikukuu ya Idd.
Nakushauri kama ni mkristo fanya maombi wote na mshawishi hata mwende sehemu za ibada na maombezi wote. Mimi binafsi nilishikwa na tatizo la kumchukia na kumnunia kila wakati nimuonapo mme wangu. Nilimfanyia visa vya kwako ni vya kitoto...nakumbuka nilikuwa sipendi hiyo hali lakini nikawa siwezi kujizuia. Mwishowe nikaanza kusoma vitabu vya mungu na kwenda kwenye vipindi vya dini. Mpaka sasa tatizo langu limekwisha na bado kila siku najishangaa nilipatwa na nini. Mvumilie mkeo ukiendelea kutafuta ufumbuzi
Kwa nini unampa ela ya mafuta na yeye ana kazi yake? Usipompa hataenda kazini??? Au atakunyima??? Mnawaendekeza wenyewe...wakikomaa mnakuja kulalamika humu..
Usishangae, kote ni hayo hayo, sema tu wenzako hatusemi. kwako bado nafuu kwani bado hajakuletea mtoto wa kichina. bado yasubiri hata hayo. Kasisi alitudanganya kuwa "... mtu atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mke wake, nao watakuwa mwili mmoja ....." Mkuu, hiyo haiwezekani. Mke siyo mwili mmoja na mme, They are two different entity.
Kaza moyo, huo ndio msalaba wako.
Hayo ni maneno yako kwel CD?Kichapo muhimu, sometimes huwa hatusikii mpaka yatukute. Mpe makofi ya kishikaji atatulia.
Duuuhhhh,Na wewe mjukuu unashabikia mangumi? Hata siamini!!ushauri wangu wa bure kabisa wewe ni mnywaji?basi leo nenda kapombeke hadi late times na ukirudi home mgongee binti wa kazi akufungulie mlango ukiingia ndani akibwawaja tu mtie kibao kimoja kitakatifu. kisha mwambie hii ni trela picha inakuja. lazima atatia akili.
Hadi hela ya birthday anataka refund, ulimtuma akanunue?
Huyo anaproject anaifanya kwao na kuna mtu kamshika masikio huyo.
Anyway maisha ya ndoa ni msalaba mzito sana