Asulo
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 719
- 251
Mkuu hapo umenena.. Kiukweli unatakiwa ukae naye chonjo maana kwa sasa huyo mkeo anakiburi kwa kuwa anajua ana haki zote hapo, hata we ukitaka kutengana naye anajua ni lazima mtagawana Mali tu..hii pia inaweza kuwa chanzo cha yeye kuwa na kiburi..vinginevyo atakuwa na kidumu huyo.kwa ufupi kuna 'kidumu'take care...