For sure.Tafuta ela,kumchangamkia mwanaume asiye na Hela yahitaji Moyo wa kinabii
Asante kwa kumbukumbu nzuri,kuna baadhi ya wanaume hapa dunia ni masikitiko tuKuna mwenzako alianzisha uzi kuwa mke wake anamkera sana kwa kuwa anampigia simu kila mara na kumjulia hali na akiwa nyumbani anamganda kama ruba. Yani anataka attention yake kila muda.
Mtafute mbadilishane wake. Anaitwa mulwanaka
Huyo mke walikuolea nyumbani?Kwema wakuu?
Nilikua nimekaa mahali ninakula msosi, kuna jirani yangu pembeni akawa anaongea na mkewe kwenye simu. Ebana wanavyoongea hadi raha yani. Mkewe anamuuliza jamaa siku yake imeendaje, anamuuliza anakula nini na pia amemsisitiza jamaa awahi kurudi home jion.