Kumbekunakuonja muwe mnatoa mrejesho bac
Ndio ni mkataba wa milele hasa kwa wakristo kwahiyo usikurupuke kungia kwenye huo uhusiano kama hujamfahamu mwenza wako vema, na kumfahamu vema inahitaji si chini ya miaka mitatu mpaka 5, na bado utakuwa hujawafahamu yote mpaka muoane mzae watoto muwe na majukumu ya kulea na kusaidia ndugu wa pande zote
Tupoooo......Miaka 5 uchumba? OMG.
Hao wanawake wa kuwakalisha miaka 5 ya uchumba wapo wapi?
Sio mkataba wa milele mkuu....ni mkataba wa maisha
Tupoooo......
Miaka 5 uchumba? OMG.
Hao wanawake wa kuwakalisha miaka 5 ya uchumba wapo wapi?
wapi huko
Urefu wa uchumba hauna uhusiano na uimara wa ndoa,kuna waliokaa miaka ya uchumba na ndoa haikufikiwa na kuna uchumba wa miezi na ndoa zikawa imara!!
Cha msingi ukijiridhisha kuwa huyo ndie hasa anayekufaa then go for it.
Hakuna rule of thumb.
Uchumba ukiwa wa mda mrefu sana sio mzuri,at least miaka mi3.Kuna ile mtu unavalishwa engagement ring mpka unasaau alie kuvalisha.
AT LEAST 3yrs??
AT MOST:.....???
Uchumba wa miaka mitatu siutaki, it's too much!!
Unataka mwaka mmoja?
Kama nimenuia kuingia kwenye hii "game" basi ndani ya miaka miwili niwe nimemaliza kila kitu...urafiki, urafiki wa kawaida, urafiki wa karibu, uchimba Na hatimaye ndoa..miaka miwili tu..