Wife and husband to be...

Wife and husband to be...

Al-shabaab

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
1,791
Reaction score
620
Habari zenu wana MMU.

Natumaini mu wazima wa afya leo ningependa kujua juu ya uchumba kati ya mwanamke na mwanaume kabla ya kuoana sababu

Ukiongea na wakubwa zetu watakwambia uchumba wetu ulidumu miaka mitano?

Lakini vijana wa siku hizi uchumba wenu haukai muda mrefu mmeshaoana.
-je kunamantiki yeyote ya kuwa na uchumba wa muda mrefu before ndoa?
faida zake ni zipi na hasara

Nawasilisha.
 
Habari zenu wana MMU.
natumaini mu wazima wa afya leo ningependa kujua juu ya uchumba kati ya mwanamke na mwanaume kabla ya kuoana sababu
ukiongea na wakubwa zetu watakwambia uchumba wetu ulidumu miaka mitano?
lakini vijana wa siku hizi uchumba wenu haukai muda mrefu mmeshaoana.
-je kunamantiki yeyote ya kuwa na uchumba wa muda mrefu before ndoa?
faida zake ni zipi na hasara
nawasilisha

Ndio ni mkataba wa milele hasa kwa wakristo kwahiyo usikurupuke kungia kwenye huo uhusiano kama hujamfahamu mwenza wako vema, na kumfahamu vema inahitaji si chini ya miaka mitatu mpaka 5, na bado utakuwa hujawafahamu yote mpaka muoane mzae watoto muwe na majukumu ya kulea na kusaidia ndugu wa pande zote
 
Ni kweli kabisa. Lakini pamoja na hayo yote ya uchumba kukaa muda mrefu wazee wetu pia waliweza kuvumiliana hadi siku ya ndoa bila ya kukiuka katiba linapokuja swala la amri ya sita
 
Inategemea na mtu,some take advantage for it,ya kukuingiza kwenye uchumba sugu na kukushusha thamani(anakuchujisha hadi uzeeka especially women)
 
inategemea na ninyi watu wawili wakubwa wanaweza kukudanganya pia ,.. ni yale yale kila mzazi alikuwa wa kwanza darasani je aliyekuwa wa mwisho alienda wapi?
 
inategemea na ninyi watu wawili wakubwa wanaweza kukudanganya pia ,.. ni yale yale kila mzazi alikuwa wa kwanza darasani je aliyekuwa wa mwisho alienda wapi?
Unachosema ni kweli. Hekima hiyo anaeweza itumia ni mzazi anaejua maadili ya ulezi kwa mtoto/watoto wake
 
Inategemea na mtu,some take advantage for it,ya kukuingiza kwenye uchumba sugu na kukushusha thamani(anakuchujisha hadi uzeeka especially women)

Wengine walikaa miaka 9 kwenye uchimba baadae mwanaume

akafalll kwingine anasema after 9 years there is nothing new abt her
 
Unachosema ni kweli. Hekima hiyo anaeweza itumia ni mzazi anaejua maadili ya ulezi kwa mtoto/watoto wake

ndiyo ni hekima na hao wakubwa pia wametumia hekima kila mtu mlianza lini uchumba mpaka tukaoana miaka 10 loh hivi ninin?
 
Habari zenu wana MMU.

Natumaini mu wazima wa afya leo ningependa kujua juu ya uchumba kati ya mwanamke na mwanaume kabla ya kuoana sababu

Ukiongea na wakubwa zetu watakwambia uchumba wetu ulidumu miaka mitano?

Lakini vijana wa siku hizi uchumba wenu haukai muda mrefu mmeshaoana.
-je kunamantiki yeyote ya kuwa na uchumba wa muda mrefu before ndoa?
faida zake ni zipi na hasara

Nawasilisha.

Sidhani kama mtoamada upo sahihi. Wazee wa sasa (vijana wa zamani) walikuwa wakichaguliwa wake na wazeewao. Na immediately baada ya hapo walikuwa wanaoa...hiyo miaka mitano ya uchumba si kweli
 
Wengine walikaa miaka 9 kwenye uchimba baadae mwanaume

akafalll kwingine anasema after 9 years there is nothing new abt her
Siku zote ukiwa unapenda vitu 2 chagua kile cha pili sababu ndio utakuwa umekipenda zaidi.So wa 9 yrs lazima alipenda cha 2.
 
Digitali, tunajuana kwa social networks, tunatongozana kwa social network, maisha ya ndoa ya siku hizi yanaendeshwa kwa social networks, mwisho wa siku tunaachana kwa social networks.

Miaka mitano sijui saba ya kuchunguzana ilikuwa kwa babu zenu bana!!
 
Sidhani kama mtoamada upo sahihi. Wazee wa sasa (vijana wa zamani) walikuwa wakichaguliwa wake na wazeewao. Na immediately baada ya hapo walikuwa wanaoa...hiyo miaka mitano ya uchumba si kweli

100% uko sahihi
 
Ndio ni mkataba wa milele hasa kwa wakristo kwahiyo usikurupuke kungia kwenye huo uhusiano kama hujamfahamu mwenza wako vema, na kumfahamu vema inahitaji si chini ya miaka mitatu mpaka 5, na bado utakuwa hujawafahamu yote mpaka muoane mzae watoto muwe na majukumu ya kulea na kusaidia ndugu wa pande zote

hii ni fact nzuri sana ambayo inatakiwa vijana kuiconsider ili wasije wakaanza kulalamika kuhusu ndoa zao
 
Ni kweli kabisa. Lakini pamoja na hayo yote ya uchumba kukaa muda mrefu wazee wetu pia waliweza kuvumiliana hadi siku ya ndoa bila ya kukiuka katiba linapokuja swala la amri ya sita

siku hizi naona hii mambo imeisha sababu siku hizi mtu anafunga ndoa anamimba tayari
 
siku hizi naona hii mambo imeisha sababu siku hizi mtu anafunga ndoa anamimba tayari
Watu wanataka jua binti anashika ujauzito au tasa?!

Mambo ya kuuziwa mbuzi kwenye kugunia hawataki tena, si unajua tena vigezo na masharti vinazingatiwa
 
Back
Top Bottom