Mzee wa hat-trick
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,730
- 2,390
Yan hapa nipo kwenye harusi. Ameniweka na mdogo wa rafiki yake ni mzuri hatari. Yan binti mwenyewe ndo kwanza tumejuana hapa hapa.
Yeye yupo kwny kamati, so hajakaa akatulia. Amemwambia huyo binti ahakikishe nisiwe bored. Jamani jamani jamani. Daaaah...!!! Basi sawa. Ngoja niwe mpole tu aisee...!!!
Yeye yupo kwny kamati, so hajakaa akatulia. Amemwambia huyo binti ahakikishe nisiwe bored. Jamani jamani jamani. Daaaah...!!! Basi sawa. Ngoja niwe mpole tu aisee...!!!
