Wanaongoza kwa kusoma magazeti ya udaku! Wanaongoza kwa kupenda kuangalia ze komedi,futuhi,majuto nk!wanamshangaa mtu anayenunua na kusoma raia mwema,rai,mwanahalisi,mwananchi nk!hawapendi kuangalia taarifa za habari kwenye tv!cnn,bbc,skynews kwao ni kituo cha polisi!wanapenda movie za kipuuzi za akina kanumba!wanapenda tamthiliya za kipuuzi za amerika ya kusini na ufilipino zilizojaa kwenye televisheni zetu za kichovu! Wanapenda nyimbo za kichovu za bongo fleva kama mpenzi jini,kidato kimoja! Huwakuti kwenye makongamano serious kama ya kujadili katiba,azimio la arusha na utawala bora lakini wanajaa kwenye makongamano ya kuwatambulisha akina p-square!! Wanapenda sana kula chips mayai,non serious food! Hawampendi slaa,wanampenda kikwete may be because hayupo serious! Hawapendi masomo ya sayansi but wanapenda sana na kufaulu topic ya reproduction ya form 3! Wanapendelewa bungeni and hawapeni kupambana majimboni! Ukija jf wengi utawakuta kwenye majukwaa ya udaku na mapenzi,jukwaa la siasa na international ni wa kuwahesabu!...etc Halafu eti wanataka usawa! NIMEKUWA NIKIJIULIZA SANA WHY WANAWAKE HAWAPENDI YALE MAMBO SERIOUS?
Wanaongoza kwa kusoma magazeti ya udaku! Wanaongoza kwa kupenda kuangalia ze komedi,futuhi,majuto nk!wanamshangaa mtu anayenunua na kusoma raia mwema,rai,mwanahalisi,mwananchi nk!hawapendi kuangalia taarifa za habari kwenye tv!cnn,bbc,skynews kwao ni kituo cha polisi!wanapenda movie za kipuuzi za akina kanumba!wanapenda tamthiliya za kipuuzi za amerika ya kusini na ufilipino zilizojaa kwenye televisheni zetu za kichovu! Wanapenda nyimbo za kichovu za bongo fleva kama mpenzi jini,kidato kimoja! Huwakuti kwenye makongamano serious kama ya kujadili katiba,azimio la arusha na utawala bora lakini wanajaa kwenye makongamano ya kuwatambulisha akina p-square!! Wanapenda sana kula chips mayai,non serious food! Hawampendi slaa,wanampenda kikwete may be because hayupo serious! Hawapendi masomo ya sayansi but wanapenda sana na kufaulu topic ya reproduction ya form 3! Wanapendelewa bungeni and hawapeni kupambana majimboni! Ukija jf wengi utawakuta kwenye majukwaa ya udaku na mapenzi,jukwaa la siasa na international ni wa kuwahesabu!...etc Halafu eti wanataka usawa! NIMEKUWA NIKIJIULIZA SANA WHY WANAWAKE HAWAPENDI YALE MAMBO SERIOUS?
Wanaongoza kwa kusoma magazeti ya udaku! Wanaongoza kwa kupenda kuangalia ze komedi,futuhi,majuto nk!wanamshangaa mtu anayenunua na kusoma raia mwema,rai,mwanahalisi,mwananchi nk!hawapendi kuangalia taarifa za habari kwenye tv!cnn,bbc,skynews kwao ni kituo cha polisi!wanapenda movie za kipuuzi za akina kanumba!wanapenda tamthiliya za kipuuzi za amerika ya kusini na ufilipino zilizojaa kwenye televisheni zetu za kichovu! Wanapenda nyimbo za kichovu za bongo fleva kama mpenzi jini,kidato kimoja! Huwakuti kwenye makongamano serious kama ya kujadili katiba,azimio la arusha na utawala bora lakini wanajaa kwenye makongamano ya kuwatambulisha akina p-square!! Wanapenda sana kula chips mayai,non serious food! Hawampendi slaa,wanampenda kikwete may be because hayupo serious! Hawapendi masomo ya sayansi but wanapenda sana na kufaulu topic ya reproduction ya form 3! Wanapendelewa bungeni and hawapeni kupambana majimboni! Ukija jf wengi utawakuta kwenye majukwaa ya udaku na mapenzi,jukwaa la siasa na international ni wa kuwahesabu!...etc Halafu eti wanataka usawa! NIMEKUWA NIKIJIULIZA SANA WHY WANAWAKE HAWAPENDI YALE MAMBO SERIOUS?
Baasi baasi mkuu..yani nimeanza kusoma hii thread nimejikuta naflow verses zaidi tongue twister.duh!duh! duh! eebwaneeeee!
unaotaaaa!au?
ngoja nikwambie kitu siyo wanawake tu hawako sirious bali hata sisi wanaume hatuko sirious.we sema watz wengi hawapo sirious-hebuniambie ni watz wangapi unaowafahamu wenye ajira zaidi ya moja ukiachana malecturers,walimu na madaktari?