Why wanapenda maongezi ya simu?

Why wanapenda maongezi ya simu?

songalelu

Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
21
Reaction score
2
wanaJF ni swali kwamba kwanini baadhi ya wanawake wanapenda kucontact several times per day yan muda wote anakupigia simu na kwa bahati mbaya sometime hana cha kuongea but atapiga tu... nfanyeje ndugu nampenda but nachoka kupokea simu.
 
Nunua simu ambayo ina touch screen ili vidole visichoke kupokea. Unaweza kununua wireless/ bluetooth headphones ili usichoke kushikilia simu. Ila huyo siku akiachabkuwa anapiga piga simu ujue keshapata asiechoka kupigiwa.
 
Nunua simu ambayo ina touch screen ili vidole visichoke kupokea. Unaweza kununua wireless/ bluetooth headphones ili usichoke kushikilia simu. Ila huyo siku akiachabkuwa anapiga piga simu ujue keshapata asiechoka kupigiwa.
ujumbe umefika, wapo wasochoka kupiga kabisa na siyo kupokea, ukute hapo vocha anajinunulia mwenyewe hapo. Jamani ukimpenda asopendeka shida sana
 
Kweli maisha yana mengi wengine wanataka wapigiwe kila mara na wengine wanasikia karaha kupokea simu. Binadamu ni kiumbe mzito
 
Haya maisha bwana sijui hata yakoje,wakati wengine wanatamani kupata mtu ambaye atamuonesha upende hata kidogo tu,wengine wanaachana na watu ambao wanawapenda kwa dhati,wengine wanatafuta wake/waume wa kuoa au kuolewa nao wengine wanapeana talaka.Na wewe jamaa wenzio wanataman hata waone missed calls za wapenzi wao ili wawapigie,wewe unalalamika umechoka kupokea simu.
 
wanajf ni swal kwamba kwanini baadh ya wanawake wanapenda kucontact several times per day yan muda wote anakupigia cm na kwa bahati mbaya sometime hana cha kuongea but atapiga tu... nfanyeje ndugu nampenda but nachoka kupokea cm..

ukipigiwa, unalalamika...

ukibipiwa napo, unalalamika salio nililomtumia kapeleka wapi...

nini kilicho chema katika uso wa dunia?
 
Kweli maisha yana mengi wengine wanataka wapigiwe kila mara na wengine wanasikia karaha kupokea simu. Binadamu ni kiumbe mzito

lolz!!

mi nataka niwe nakupigia kwa PM Ablessed! unaonaje huo mpango wangu??
 
Last edited by a moderator:
Penda upendwapo, kuna uwezekano umemchoka huyo mtu, au hauna hisia zozote juu yake kiasi kwamba ukiona simu zake unakereka, Jipange.
 
Penda upendwapo, kuna uwezekano umemchoka huyo mtu, au hauna hisia zozote juu yake kiasi kwamba ukiona simu zake unakereka, Jipange.

Hapana ndug co kama cna hisia nae ila tatizo anapga cmu na hana cha kuongea xo tunabak silence ukikata cm afta few mints anapga tena na hana cha kuongea xo nabaki dilemma, why.......
 
wanajf ni swal kwamba kwanini baadh ya wanawake wanapenda kucontact several times per day yan muda wote anakupigia cm na kwa bahati mbaya sometime hana cha kuongea but atapiga tu... nfanyeje ndugu nampenda but nachoka kupokea cm..

mweke kwenye blacklist huyo demu wako kama hutak akupigie daily
 
hisia zimepotea kwa kweli, chukua hatua mapema
 
wanajf ni swal kwamba kwanini baadh ya wanawake wanapenda kucontact several times per day yan muda wote anakupigia cm na kwa bahati mbaya sometime hana cha kuongea but atapiga tu... nfanyeje ndugu nampenda but nachoka kupokea cm..
Kiswahili fasaha hukifahamu ?
 
Itupe Hiyo simu ununue ya land line awe anakupata usiku tu ukiwa nyumbani.
 
Mi napenda kupigiwaa hata nikiwa naogaa sasa kama unampenda shida iko wapi unataka ampigie naniiii
 
Back
Top Bottom