nawewe ntakujibu kama nilivyomjibu mwenzio wakusoma awali...wanaJF ni swali kwamba kwanini baadhi ya wanawake wanapenda kucontact several times per day yan muda wote anakupigia simu na kwa bahati mbaya sometime hana cha kuongea but atapiga tu... nfanyeje ndugu nampenda but nachoka kupokea simu.
Siku nikinyimwa kupiga na kutuma sms nafwaa.
Ila kuna watu jamani, bora waombwe tu vocha afu apigiwe mwingine.
hahaha, mi nikiambiwa nachosha kupiga simu, naanza kupigia wengine kwenye phonebook yangu. stress ya nini bwana? hapo jitu halijui kuna mtu anakusumbua na salamu kutwa mara tatu hadi unam-block! :juggle: