He is not powerful.Otherwise?
Yani nikajua utazungumzia ada za shule na shibe za familia unataka waridhishwe kitandani ni haki hii?Awe tu na uhakika anawaridhisha kitandani
He's not.Otherwise?
Wewe unadhani alikuwa anajisifia nini kwenye hiyo video?Yani nikajua utazungumzia ada za shule na shibe za familia unataka waridhishwe kitandani ni haki hii?
Bila kula utakufa bila kuridhishwa utapata madhala gani?
Kama nguvu anazo jee chakula na mavazi anawatoshelezaWewe unadhani alikuwa anajisifia nini kwenye hiyo video?
Hadi akasema ana wanawake wanne?
Wee jamaa umekosea hizo ni imani za watu wapo kwenye ndoa wamedhalilishwaje?Wanawake wanadhalilishwa nao wamekubali tu
Wee jamaa umekosea hizo ni imani za watu wapo kwenye ndoa wamedhalilishwaje?
Msilazimishe watu waishi kama utakavyo.
Single mother mnawaponda ndoa ya wanee mnaponda tengenezeninduniabyenu mkakae
Powerful Indeed..
View attachment 1481313