Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
Mabadiliko acha ushamba. Watu tumesoma nje kwenye vyuo na nchi zinazoogopewa lakini bado hatuoni kama ni big deal zaidi ya kupata nyenzo ya kusaidia wengine. Yawezekana umesoma UDS lakini hukuelimika. Maana hakuna kitu kimenikera kama hitimisho lako la INABIDI USALI SANA NA KUSHUKURU KAMA UMEPATA KUSOMA UDSM, IT IS A ONCE IN A LIFE TIME CHANCE. Sijui kama ungesoma nje ingekuwaje wewe unayewaita wenzako vilaza wakati kilaza aweza kuwa wewe. Mbona wako wengi wamesoma pale lakini ni mafisadi wa kunuka kama akina Lowassa, Chenge, Mwanaidi Maajar na wengine wengi? Shame on you!