Why UDSM is ranked number 1 , 2 and 3 in TANZANIA

Mabadiliko acha ushamba. Watu tumesoma nje kwenye vyuo na nchi zinazoogopewa lakini bado hatuoni kama ni big deal zaidi ya kupata nyenzo ya kusaidia wengine. Yawezekana umesoma UDS lakini hukuelimika. Maana hakuna kitu kimenikera kama hitimisho lako la INABIDI USALI SANA NA KUSHUKURU KAMA UMEPATA KUSOMA UDSM, IT IS A ONCE IN A LIFE TIME CHANCE. Sijui kama ungesoma nje ingekuwaje wewe unayewaita wenzako vilaza wakati kilaza aweza kuwa wewe. Mbona wako wengi wamesoma pale lakini ni mafisadi wa kunuka kama akina Lowassa, Chenge, Mwanaidi Maajar na wengine wengi? Shame on you!
 
Mabadiliko acha ushamba. Watu tumesoma nje kwenye vyuo na nchi zinazoogopewa lakini bado hatuoni kama ni big deal zaidi ya kupata nyenzo ya kusaidia wengine. Yawezekana umesoma UDS lakini hukuelimika. Maana hakuna kitu kimenikera kama hitimisho lako la INABIDI USALI SANA NA KUSHUKURU KAMA UMEPATA KUSOMA UDSM, IT IS A ONCE IN A LIFE TIME CHANCE. Sijui kama ungesoma nje ingekuwaje wewe unayewaita wenzako vilaza wakati kilaza aweza kuwa wewe. Mbona wako wengi wamesoma pale lakini ni mafisadi wa kunuka kama akina Lowassa, Chenge, Mwanaidi Maajar na wengine wengi? Shame on you!

huwezi kuwa umesoma vyuo vya india au malaysia nawe ukasema eti uko juu kuliko mtu wa udsm!
 
Perry umenena vyema ingawa si kweli. Je kama nimesoma Uingereza au Amerika mnakoabudia utasemaje? Kumbuka siyo shahada moja wala mbili ninazoongelea hapa. Kwangu elimu ni elimu mradi mtu apate na kutumia vizuri ujuzi unaotakiwa katika fani yake. Tuache majivuno mambo mengine yanaonyesha utoto. Nasisitiza. Pamoja na kusoma kote shahada zangu nje sioni kama ni big deal zaidi ya kuwa bahati na kumshukuru Mungu badala ya kuwaringia ambao hawakupata bahati hii.
 
Tumesoma vyuo vikuu ulaya hatusemi,

ktk rank vko kwenye top ten,


wewe unakaa unaacha kusoma,

kuweka hoja ya maana, tujadili,

tupeane vision, mlevi kweli hujabalehe wewe!

nje KILA WIKI zoezi kwa vitendo,

tena sio sc. ni art, uliza vitendo gani, acheni upuuzi watoto wa mkandala
 
Perry umenena vyema ingawa si kweli. Je kama nimesoma Uingereza au Amerika mnakoabudia utasemaje? Kumbuka siyo shahada moja wala mbili ninazoongelea hapa. Kwangu elimu ni elimu mradi mtu apate na kutumia vizuri ujuzi unaotakiwa katika fani yake. Tuache majivuno mambo mengine yanaonyesha utoto. Nasisitiza. Pamoja na kusoma kote shahada zangu nje sioni kama ni big deal zaidi ya kuwa bahati na kumshukuru Mungu badala ya kuwaringia ambao hawakupata bahati hii.

good! watoto wa facebook mkuu, wengne facebook tumetoka

ingawa maprof wa nje tumekuwa nao, wabongo wanamis use

so, ud wazur ni wanafnz au walimu wao
 
Unajua ni nn tukiendelea kubishana sana na hawa watu hamna kingine zaidi ya kuwa paisha kuwafanya wazidi kujisikia wapo juu dawa ni kukubaliana nao tu kwamba sisi vilaza wao magenious kweli mpo juu bt msitunyanyapae bac wa vyuo vya kata couse hata wa oxford,harvard wakianza kuongea na nyie mtakua cha kata tu piga UD napiga cha kata mwisho wa siku tupo wote ofisini what the difference?.......

NAKUBALIANA NA WEWE. Watu wajue kuwa elimu ya juu HAMBADILISHI mtu, hata kama UDSM itakuwa na maprof waliosoma HARVARD na akina OBAMA, lakini kama wanafunzi wanaojiunga na hicho chuo wamepata elimu mbovu ya mssingi na sekondari; HAKUNA KITU, na hiyo ndiyo hali halisi. NA haishangazi kuona, wapo maprof hapo2 UDSM ambao hawana kitabu walichoandika tofauti na kuchangia kwenye VIJARIDA vya taaluma zao; unanunua kitabu cha mwl wa sec UK kinakuwa bora kuliko cha prof wa bongo. Cha msingi ni kuboresha elimu ya msingi na sec, univ educ haibadilishi mtu: ukienda chuo kikuu hujui hesabu wewe ni hujui, ili ujue inabid urudi kusoma hesabu za sec na msingi; vivyo hivyo kwa kiingereza, ndiyo maana maprof wetu hata mlimani wapo hawawezi kabisa kujieleza kwa kimombo, na ili kuficha wanasema wakati wa kufundisha "In order for you to understand me, I am going to use both ENG & SWAH" anajidai ye2 hana matatizo ya lugha bali mwanafunzi, kumbe hakunna, hawezi ku flow ... HABARI NDIYO HIYO. TATIZO la elimu tz ni janga la kitaifa, whether umesoma UDSM, MUHAS, ARDHI, OUT etc
 
tunajenga nyumba moja, kwanini kunyang'anyana matofali bana!? kila siku udsm udsm mara vyuo vya kata wakati nchi inazidi kuzama
 
Very interesting topic. Kiukweli waliosoma UDSM wanauwezo wa kufikiri but many of them are not practical. kishule wapiga ,,,,njoo kazini sasa... Duuuuuuuuuuuuh. The University professors are perfect but it doesn't mean the students are..
 
Sifaa sio kuwa na cheti sifa ni kugeuza cheti pesa.Nimepiga shule yangu hapo UDSM lakini kiukweli UDSM hakuna cha kusifiwa


  • Access to the best professors.
  • Motivation atmosphere for students: Motivation gani wakati watu wanasoma wamekaa chini? Lecture ya wanafunzi wa Social Sciences inafanyika Nkrumah Hall au Theatre 1 , kwa mfano DS101 hii inabeba wanafunzi wote wa Social Sciences.Unakuta Hall imejaa watu wamekosa viti.Ni atmospher gani hii inayoongelewa


  • Opportunity to pursue any field: Inabidi kuongezea kwamba kuna vigezo vya kupursue hizo field.Na hii sio sifa ni mazingira ambayo kila chuo inacho


  • Gud living experience: Good Living experience wakati pale Hall five mbali ya watu kulala wawili kitanda kimoja ( Kubebana), lakini hata hali ya mazingira ya vyoo ni hatarishi.Hii ya kubebana kwa sababu ya ukosefu/Upungufu wa Hosteli si hapo Main Campus tu bali hata Mabibo ni jambo lililozoeleka.


  • Opportunity for internships and jobs:Internships na kazi ni juhudi za Mwanafunzi mwenyewe kuzunguka na bahasha ya kaki iliyojaa CV, Chuo hakimtafutii mtu kazi.


  • Largest Library system in Tanzania: Ni library kubwa iliyojaa vitabu vya zamani, ni bora mtu akajisomea Online kuliko kushinda maktaba yenye harufu ya karatasi za zamani zilizolowana na unyevu.
Diversity


  • Great career opportunities: Hii na ile ya Oportunities za Internship zinaenda pamoja


  • Large budget compared to others..: Kubwa kuliko UDOM? na Ukubwa wa chuo unasaidiaje kutoa wasomi bora?


  • Leading in scientific researches: Hili niakubaliana nalo, japokuwa matoke ya hizo tafiti siyaoni..


  • Book writings and publication: Nakubaliana na hili


  • Innovative capabilities:Labda


  • Number of students is large compared to others: Nakubaliana



 
et in East africa,vilaza weng kwel,unajua kilishika nafac ya ngap kwenye yale mashindano ya airtel?
Na nairobi univ ilishika nafc ya ngap?

Tuache kubezana hapa,umesoma udsm kozi gani?na sasa uko wapi?unafanya nini?marafiki zangu wengi wapo wanahangaika mitaani huku wametoka udsm hawana jipya,utabaki na maringo,majivuno ya udsm.
Mhimu unafanya nini,unakitu gani,unamchango gani kwa taifa hili.
Hebu leta hoja inayohusu TCU,HESL na namna inavyoweza kusaidia kutoa suluhisho la matatizo ya vijana wetu ktk nchi hii

Ni maoni yangu,nawasilisha.
 
Mnamo miaka ya 90,watu waliokua wakisoma kwenye shule za private walionekana kana kwamba hawana akili na walofeli maisha.
Baadae kwa sisi wanfunzi kwa kusifia shule hizo za serikali, viongozi wetu wakajisahau sana kwa sasa private ndo tena wanaonekana kama wanatoa elimu bora kuliko shule za serikali.
Kwa sasa tumeanza na kuipa ud sifa nying na kugredi vyuo mbalimbali,sasa vyuo vya private vitakapogundua kua ndo vinatoa elimu bora ivi tutasoma kweli?

Ushauri wangu,tuanze kwa hoja ya kwa nini tcu necta na hesl pamoja na nacte wana mikakati mibovu dhidi ya elimu yetu.pia kumbuka jk anapewa tuzo za heshima kila mara ungali watz tunalia na uongozi wake,there4 ud to be ranked 1st haimati sana kwa hali halisi ya elimu yetu.

Rejea fee ya IMTU,st JOSEPH UNIVERSITY,SHABAN ROBART SEC,FEZA SEC atc
 
udsm limebakia jina 2!!!nwdayz m2 akipga telecom ya dit na mwingne ya ud wa dit yupo juu ile mbya kwny market!!kuwen makn wanaudsm
 
Sifaa sio kuwa na cheti sifa ni kugeuza cheti pesa.Nimepiga shule yangu hapo UDSM lakini kiukweli UDSM hakuna cha kusifiwa


  • Access to the best professors.
  • Motivation atmosphere for students: Motivation gani wakati watu wanasoma wamekaa chini? Lecture ya wanafunzi wa Social Sciences inafanyika Nkrumah Hall au Theatre 1 , kwa mfano DS101 hii inabeba wanafunzi wote wa Social Sciences.Unakuta Hall imejaa watu wamekosa viti.Ni atmospher gani hii inayoongelewa


  • Opportunity to pursue any field: Inabidi kuongezea kwamba kuna vigezo vya kupursue hizo field.Na hii sio sifa ni mazingira ambayo kila chuo inacho


  • Gud living experience: Good Living experience wakati pale Hall five mbali ya watu kulala wawili kitanda kimoja ( Kubebana), lakini hata hali ya mazingira ya vyoo ni hatarishi.Hii ya kubebana kwa sababu ya ukosefu/Upungufu wa Hosteli si hapo Main Campus tu bali hata Mabibo ni jambo lililozoeleka.


  • Opportunity for internships and jobs:Internships na kazi ni juhudi za Mwanafunzi mwenyewe kuzunguka na bahasha ya kaki iliyojaa CV, Chuo hakimtafutii mtu kazi.


  • Largest Library system in Tanzania: Ni library kubwa iliyojaa vitabu vya zamani, ni bora mtu akajisomea Online kuliko kushinda maktaba yenye harufu ya karatasi za zamani zilizolowana na unyevu.
Diversity


  • Great career opportunities: Hii na ile ya Oportunities za Internship zinaenda pamoja


  • Large budget compared to others..: Kubwa kuliko UDOM? na Ukubwa wa chuo unasaidiaje kutoa wasomi bora?


  • Leading in scientific researches: Hili niakubaliana nalo, japokuwa matoke ya hizo tafiti siyaoni..


  • Book writings and publication: Nakubaliana na hili


  • Innovative capabilities:Labda


  • Number of students is large compared to others: Nakubaliana




thnx kaka kwa kuwa mkwel
 
Kitu cha muhimu ambacho ujfunze kijana ni kwamba,uckariri sana maswala ya darasani kwani kwani unaweza ukawa umesomea udsm na pia ukabaki unaangaika mtaani,KITU CHA MSINGI KWANZA SOMA MAISHA NA IFUATIE ELIMU kwani unaweza ukafaulu darasani ukaja ukafeli maisha.ukae ukijua kwamba ufaulu wa mwanafunzi haijalishi umesomea chuo gani,bali unajitumaje katka kuhakikisha unafaulu kiukweli katika assignment za aina yeyote ile,na akili yako ikistack kusubiri ajira utajufa maskini.JITUME KATIKA MASOMO YAKO NA UHAKIKISHE UNAANZA KUYASOMA MAISHA YAKO

(wise guy)
 
Mimi nadhani swala si hizo ten reasons kama unavyoziita wewe. Kitu kikubwa hapa ni research infrastructures and funds.
Nasema hivi kwasababu;
1) Vyuo vingi hivyo mnavyoviita vya kata au vilaza, hao Maprofesa most of them (kama si wote) wametoka hapo UDSM, na walikuwa very good researchers hapo na kazi zao (au baadhi) pia zinatumika ktk kupata ranking za chuo.
Sasa ktk hivi vyuo vipya bado miundo mbinu (infrastructures) bado haijatengemaa kama UD. na ikumbukwe UD wamerithi miundo mbinu toka enzi za ukoloni na EAC.
Kwa hiyo hawa Profesa pia wakipata nafasi sawa utaona ushindani utakaotokea.

2) Huwezi linganisha baadhi ya vyuo na UD kutokana na wanachofundisha, mfano mzuri hapa ni MUHAS. Muhimbili ni chuo kinachofundisha masuala ya afya tu. UD hakuna masuala yanayofundishwa MUHAS, na MUHAS hakuna yanayofundishwa UD. Ukisema kuhusu research infrastructure and funds, unaweza kukuta mostly (if not all) zinazohitajika MUHAS ni ghari zaidi. Hivyo basi, hata funds ni vigumu zaidi kupata ukilinganisha na UD. Funds unazotakiwa kupata ili ufanye research, kwenye Social science huwezi kuzipima na zile za afya.

Hivyobasi, kwa mawazo yangu nadhani tuvipe muda hivi vyuo vipya kama UDOM, Nelson Mandela, e.t.c, vimalize interim period zao, then tuone their impact.


Ten reason this university of gifted students in the country is ranked number one. UDSM the only one. it acquare number 1 position ,number 2 position and 3. then SUA fourth



  • Access to the best professors.
  • Motivation atmosphere for students.
  • Opportunity to pursue any field.
  • Gud living experience.
  • Opportunity for internships and jobs
  • Largest Library system in Tanzania
  • Diversity
  • Great career opportunities
  • Large budget compared to others.
  • Leading in scientific researches
  • Best students in the country.
  • Book writings and publication.
  • Innovative capabilities.
  • Number of students is large compared to others
​INABIDI USALI SANA NA KUSHUKURU KAMA UMEPATA KUSOMA UDSM, IT IS A ONCE IN A LIFE TIME CHANCE.
VILAZA MTAJIJU, VILAZA MTAJIJU, VYUO VYA KATA MTAJIJU, AILI MGANDO MTAJIJU:flypig: WE FLY HIGH
 
masikitiko yangu ni kwamba nimegundua tuna safari ndeeeefu mno mpaka kujikomboa na umasikini wa kifikra. bado fikra ni mgando mno...

uwezo wa mtu kupambana na changamoto za kimaisha regardless alisoma undergraduate, masters, PhD au postdoctoral wapi ndio inayoleta heshima. mtu hata amalize chuo gani, kama hawezi kusimama independently, basi chuoni alikuwa anapoteza muda...

tuachane na majigambo ya KIPUMBAVU na kuwaita watu vilaza alafu uje kushangaa huyo anayeitwa "kilaza" anavyopiga bao kubwa kimaisha wakati alisoma "under the mango tree institute"...sizungumzii kuwa na gari au nyumba (ingawa hayo yaweza kuwa sehemu ya)...nazungumzia uwezo wa kutelekeza elimu kivitendo kutatua changamoto binafsi na za kijamii bila hata kusubiri kuajiriwa (na ukiajiriwa inakuwa vyema vilevile), ustaarabu na hekima ambayo inaonesha kweli mtu alipata exposure ya elimu ya juu na SIO UPUUZI kama huo.

angalizo jingine; tuzipime thread zetu maana zingine kiukweli zinashusha hadhi ya jukwaa mbele ya wadau wenye akili timamu!
 
udsm amna kitu,wengine kezeni but!Tusiishi kwa historia ni hatali sana!Ukweli ni kwamba udsm bora kama nchi nzima kipo pekeyake lkn kama vingine vipo udsm hakina ubora ktk hang hii....!
 
et in East africa,vilaza weng kwel,unajua kilishika nafac ya ngap kwenye yale mashindano ya airtel?
Na nairobi univ ilishika nafc ya ngap?
mayila shega bado katokea UDOM kaenda kuchukua masters UDSM kawakimbiza chuo kizima UDSM ubora wa chuo ni type ya mwanafunzi aliyepo
 
Back
Top Bottom