Why UDOM is being isolated?

Status
Not open for further replies.
Kwa uelewa wangu juu ya mambo ya elimu,kinachofanya product ya chuo fulani ikubalike sokoni ukiacha mambo ya propaganda ni Waalimu walio na sifa stahili (lecturers),Vifaa vya kujifunzia vinavyokidhi mahitaji na ubora,condusive learning env. na kubwa zaidi muda wa kutosha wa mazoezi kwa vitendo (field attachment,Internship etc).Swali la msingi UDOM inakidhi vyote???? manake tusidhani kua kuwa na majengo mazuri mabweni yenye viyoyozi na maprofesa wengi ndio vyaweza kufanya Institution flani kua reputable na wahitimu wake...kama ndo mtazamo wetu huo basi tunahitaji mtaalamu wa kutufundisha namna ya kufikiri......manake hata ukasoma degree kwa 6 yrs bila practice you are full of academics but no practical skills!
nawasilisha.
Duh kumbe ni kweli,basi hili jambo inabidi lipingwe vikali,graduates wa udom ni wazuri tunawafahamu,wapewe ajira kama wanafunz wa vyuo vngne!
 
Mie nimegraduate pale! ishu hii haipo bana, majungu kila kukicha UDOM!! àcheni izo bàna, angalieni maisha yenu.

Whether you are from there or not,employed or unemployed,quality will always take its way...because other graduates from the same university do not know even the contents of curriculum they were studying so asking them to jugde whether they are compentent or not is a sort of harasment to them..endelea kuogopa data may be utapata right to speak..call a spade big spoon where u think it fits.
 
World Vision walitangaza kazi na wakasema execept UDOM ni uweli kabisa na hoja kubwa ni quality ya graduates wa UDOM ambao hata field hawakuwahi kwenda na zaidi kufundishwa na walimu ambao ni undergraduates na wasio na sifa, kimsingi UDOM ni bila bila bomu linalokuja kulipuka soon
mimi nimegraduate udom na nilikuwa nafundishwa na baadhi ya walimu wa udsm na wengine frm sua vipi hao nao. Then kuhusu issue ya field udom inakozi zaidi ya 50 ila zisizofanya field ni chini ya nane tena zinatoka social science. Vipi hawa wanaofanya field nao? Maneno ya kusikia sio mazuri. Hatuwezi kukataa mapungufu coz ni chuo kimpya na hata hao udsm walikuwa na baadhi ya kozi miaka ya nyuma walikuwa hawafanyi field. No research no right to say.
 
Labda kuna ukweli wajamen,mfano me kuna ndugu yangu anapga pale udom bachelor of commerce,aliniomba nimpelekee barua yake ya maombi ya fild kwenye shirika flani la umma,nkapata bahati ya kumit na manager,thn akanichana live kwamba wenyewe wanachukua madent toka udsm na sua 2..bt ni mtazamo wa wa2 2 as hamna tofaut yoyote kati ya m2 from ud,sua,na udom..

Mhhh kazi ipo, sawa na Kenya graduate wa United States Int Univ, ngumu kweli kupata kazi, lakini cha ajabu akija TZ anakuwa mshauri wa uchumi wa Rais
 
World Vision walitangaza kazi na wakasema execept UDOM ni uweli kabisa na hoja kubwa ni quality ya graduates wa UDOM ambao hata field hawakuwahi kwenda na zaidi kufundishwa na walimu ambao ni undergraduates na wasio na sifa, kimsingi UDOM ni bila bila bomu linalokuja kulipuka soon

mkuu mleta mada anaficha ukweli.

Kutokana na maelezo yake inaonekana alikuwepo kwenye kikao kisicho rasmi kilichofanyika wiki inayoisha ambapo waajiri hasa wa taasisi za fedha wameazimia kutowachukua wahitimu wa udom na koleji moja iliyo karibu na city centre na ina matawi mikoa mingine kuwa wanafundishwa na digrii holders badala ya wa masters na PhD.

Niliogopa sana badala ya kuambiwa wazi na hao wahusika kuwa hata mamlaka ya mapato imeshaweka bayana kutowachukua wahitimu wa Udom. Wenye kukataa wakatae,wenye kuelewa waelewe.Udom si pa kwenda tena!
 
mkuu mleta mada anaficha ukweli.

Kutokana na maelezo yake inaonekana alikuwepo kwenye kikao kisicho rasmi kilichofanyika wiki inayoisha ambapo waajiri hasa wa taasisi za fedha wameazimia kutowachukua wahitimu wa udom na koleji moja iliyo karibu na city centre na ina matawi mikoa mingine kuwa wanafundishwa na digrii holders badala ya wa masters na PhD.

Niliogopa sana badala ya kuambiwa wazi na hao wahusika kuwa hata mamlaka ya mapato imeshaweka bayana kutowachukua wahitimu wa Udom. Wenye kukataa wakatae,wenye kuelewa waelewe.Udom si pa kwenda tena!
sasa wanawakomoa wahitimu au chuo? Kosa la wahitimu ni nini?
 
UNIVERSITY OF DSM IS THE ONLY UNIVERSITY IN TANZANIA...nimemnukuu marehemu Professor Haroub


Haya mambo hayaendi kiswahili swahili hivi. Kwa yeyote anayependa kuongeza maarifa take note of the following (I have no interest in either side. Haya ni maoni ya kitaalamu.)

1. Tanzania ni nchi inayoendeshwa kisheria. Tuna sheria ya ushindani "Fair Competition Act". Ni kinyume cha sheria kuamka tu bila sababu na kuwakataa wahitimu wa taasisi fulani "kiujumla jumla" tena kwa mambo yasiyothibitishwa.

2. Vyuo vikuu vyote nchini vipo chini ya Tanzania Commision for Universities. Mwajiri yeyote makini aliyesomea HR na sheria ya wafanyakazi akitaka kujua "quality" ya services anazotaka kutoka kwa mtu fulani au akiwa na mashaka anawasiliana na kamisheni.

3. Kutokufanya field siyo kigezo pekee cha ubora wa elimu ya juu. Infact tofauti ya elimu ya juu na elimu ya ufundi "technical education" inayotolewa na vyo vya kati kama VETA ni muda wa mafunzo kwa vitendo. At the degree level one aims at traing an all-rounded person in a particular field na hii inalazimisha muda mwingi uwe wa theory. Waulizeni wanaofundisha.

4. Only a communist will take for granted that every one from the UDSM must be better from ANY one from UDOM. A pragmatic, market-oriented employer will take many things into consideration and avoid preconceived notions.

5. Nchi haijagawanyika kiasi hicho kwamba wanao soma UDSM ni wa kabila fulani au watu wa kadre fulani tu (kama ilivyokuwa South Africa enzi za makaburu kwamba mwafrika lazima asome chuo fulani). Hao hao ma "manager" na "waanjiri" wana watoto wao UDOM na vyo vingine. Kuanza kuhujumu jitihada za kuelimisha jamii kubwa zaidi ni sawa na kujipiga risasai mguuni ukiwa vitani. Hakuna aliye jihakikishia kuwa ukoo wake mzima utasoma chuo fulani. That is why, for the past 15 yrs or so, private sector, gvt and even international organizatioons based in Tanzania zimekubali uwepo wa graduates wa vyuo vingine ukiondoa UDSM in spite of mapungufu ya hapa na pale. In so doing, some employers have discovered HIGHLY GIFTED INDIVIDUALS among the so called "unqualified" graduates.

Those are my 50 cents.
 
management staff zaidi ya asikimia 50 wameteuliwa na kuajiriwa toka udsm, sua na ardhi.... Walimu wa full time zaidi ya asilimia 50 wametokea udsm na wa party time karibu wote wametokea udsm.... Acheni propaganda uchwara, hakuna chuo tanzania kinachojitosheza kwa kila kitu.... Na tuacha maneno ya kusikia....

Nimehitimu toka udom na baada ya wiki mbili nimepata kazi.... Na nawajua wenzangu kadhaa walio ajiriwa hapa bongo... Sasa muache kuwasingizia waajiri.... fikiri kisha ndo uanze kuropoka.... kile ni chuo kikuu na sio urembo kama maua... Jamaa wengine sijui vipi humu ndani.
 
field ni muhimu sana, serikali iliangalie hili. Hakuna mwajiri ktk nyakati hizi anayeajiri binadamu aliyejaa theories tu kichwani.
 
Re: Except Udom! UNIVERSITY OF DSM IS THE ONLY UNIVERSITY IN TANZANIA...nimemnukuu marehemu Professor Haroub>>>>>>>>>>JAMAN MNA ELIMU TU PASIPO KUELIMIKA,AU MNAONGEA KAMA LIGI ZA VYUO VIKUU.HEKIMA NA BUSARA INAHITAJIKA.TUPO KUJENGA WATU NA SI KUBOMOA.TOA COMMENTS ZAKUJENGA JAMII HASA YETU YAKITANZANIA NA SIO KUIYUMBISHA.SISI TUMEPITA HUKO WADOGO NA WATOTO ZETU WAKASOME WAPI KAMA WANA MTAZAMO TOFAUTI WA FANI ZISIZOTOLEWA UDSM,AU WATANZANIA WOTE TU KOMALIE TUSOME UDSM TU?HUU NI UJINGA TENA UNAORUDISHA NYUMA KIWANGO CHA ELIMU TANZANIA.THANK U WA TZ WENZANGU
 
management staff zaidi ya asikimia 50 wameteuliwa na kuajiriwa toka udsm, sua na ardhi.... Walimu wa full time zaidi ya asilimia 50 wametokea udsm na wa party time karibu wote wametokea udsm.... Acheni propaganda uchwara, hakuna chuo tanzania kinachojitosheza kwa kila kitu.... Na tuacha maneno ya kusikia....

nimehitimu toka udom na baada ya wiki mbili nimepata kazi.... Na nawajua wenzangu kadhaa walio ajiriwa hapa bongo... Sasa muache kuwasingizia waajiri.... Fikiri kisha ndo uanze kuropoka.... Kile ni chuo kikuu na sio urembo kama maua... Jamaa wengine sijui vipi humu ndani.

Mkuu we waache waendelee kuchonga, mimi mwenyewe nimemaliza UDOM mwaka jana na

sasa nimeajiriwa kawa Software Engineer kwenye kampuni flani kubwa hapa DSM,

na nimefanya interview na watu wa vyuo mbali mbali wengi wakiwa

wa UDSM na wote wameachwa nimechukuliwa mimi.

Nenda TRA Temeke, Mwenge, Arusha, Mbeya na makao makuu utakuta wahitimu wa UDOM.

Nenda CRDB, tena anzia pale Azikiwe utakuta graduates wa UDOM wameajiriwa pale,

kama nikianza ku list watu ninaowajua ambao wamesha ajiriwa sitamaliza.

Kwa kifupi hizi ni propaganda na nimegundua kwamba wengi wa wanaozisambaza

ni wanafunzi wa chuo flan hapa DSM (sijui wanahofia ushindani?? May be..).

Hiyo ishu wa World Vision ni uongo mtupu na katika kufuatilia ni kwamba kuna mtu alibandika

tangazo siku ya 1st April (Fools' day) mwaka huu pale Chimwaga ili kuwahadaa watu.

Keep on fooling your self kwamba UDOM wanakataliwa wakati watu tunapiga kazi

na ma boss wetu wanatukubali haswaa.
 
Mti wenye matunda hupigwa mawe siku zote..hizi chuki na wivu juu ya udom ni wanini?.utafikiri sio chetu wa tz..udom kipo juu all day..kitaaluma na kimiundo mbinu kiujumla..udom is beautiful usidanganywe nenda katembelee one day.
 
Watu mbona mnawaandama, mnawanyima raha, mnawaghasi na kuwapiga vijembe UDOM?mi si graduate wa pale ila huo mnaoleta ni unyanyapaa,UDOM kama vyuo vikuu vingine kina mapungufu ila tusiangalie hayo tu na kuleta hoja maana kila kukicha UDOM hivi UDOM vile,why? sisi sote tunatakiwa kujenga taifa letu tunagombea miti na tofali za ujenzi za nini?kama kweli mnataka kuleta hoja tutambue kwanza kuwa
@university=chuo kikuu
@college=chuo
@institute=taasisi, kuna vyuo vikuu vingapi Tanzania?
 
Waajiri wengi wamebadilika badala ya kuangalia vyeti tu sasa wanaangalia hata nidhamu na exprience ya watu wa kuajiri.Most of the graduate from Udom they lack both exprience and displine.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom