Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,174
- Thread starter
- #61
Jana ilikuwa ni msiba wa kitaifa pale ambapo wanasiasa walipokutana IKULU kubariki kukiuka katiba iliyopo wakijidanganya ni kutetea masilahi ya taifa.
Swali langu ni moja tu hivi ni masilahi yapi ya kitaifa kwa kukubaliana kuivunja katiba iliyopo kwa kutumia sheria ya kawaida ya kuirekebisha katiba wakati inabeza utaratibu ulio wazi wa kisheria uliomo kwenye katiba iliyopo???????????????.
Wako wanaojidanganya kuwa katika hiyo wanayoiita ni katiba mpya wataweka vipengere vingi vya kuzuia watu kwenda mahakamani kuipinga itakapopitishwa wakidhani hiyo ndiyo ngao yao lakini wasichojua ni kuwa bila haki kuishinda dhuluma basi mchakato wa kudai katiba mpya utaendelea tu hadi pale mwafaka wa kitaifa utakapopatikana................
Mwafaka uliopatikana jana IKULU ni wa wanasiasa kukubaliana kulinda masilahi yao kwa kuyabeza na kuyafinya masilahi ya watawaliwa. Mustakabali uliokithiri dhuluma kama huu kamwe hauwezi kudumu na vuguvugu la kudai mustakabali shirikishi litaendelea baada ya hawa vinara kuondoka madarakani.
The good news is no one lives forever to solidify his beliefs however repulsive those beliefs are..................
Swali langu ni moja tu hivi ni masilahi yapi ya kitaifa kwa kukubaliana kuivunja katiba iliyopo kwa kutumia sheria ya kawaida ya kuirekebisha katiba wakati inabeza utaratibu ulio wazi wa kisheria uliomo kwenye katiba iliyopo???????????????.
Wako wanaojidanganya kuwa katika hiyo wanayoiita ni katiba mpya wataweka vipengere vingi vya kuzuia watu kwenda mahakamani kuipinga itakapopitishwa wakidhani hiyo ndiyo ngao yao lakini wasichojua ni kuwa bila haki kuishinda dhuluma basi mchakato wa kudai katiba mpya utaendelea tu hadi pale mwafaka wa kitaifa utakapopatikana................
Mwafaka uliopatikana jana IKULU ni wa wanasiasa kukubaliana kulinda masilahi yao kwa kuyabeza na kuyafinya masilahi ya watawaliwa. Mustakabali uliokithiri dhuluma kama huu kamwe hauwezi kudumu na vuguvugu la kudai mustakabali shirikishi litaendelea baada ya hawa vinara kuondoka madarakani.
The good news is no one lives forever to solidify his beliefs however repulsive those beliefs are..................