Msindima upo mama? Habari za masiku. Nimekumiss upeo. Ulipotelea wapi?
Nipo baba,si unajua tena hizi shughuli za kujenga nchi wakti mwingine zinatutinga mno kiasi kwamba tunashindwa hata kuwasiliana.
Msindima upo mama? Habari za masiku. Nimekumiss upeo. Ulipotelea wapi?
robo raundiJust for my personal interest: Carmel we unapenda raundi ngapi?
halafu eti anaaandika why me, why you? its simply because you started it, so deal with it. halafu mi naona kakudekeza kama ana uchawi kweli angehakikisha hata kusimama huwezi.Carmel yaani nimemshangaa sana huyu jamaa,nina wasi wasi sana na mwenendo mzima wa maisha yake.Unatia shaka sana.
Nipo baba,si unajua tena hizi shughuli za kujenga nchi wakti mwingine zinatutinga mno kiasi kwamba tunashindwa hata kuwasiliana.
robo raundi
huwa hawalogi ki-hivyo kaka,yaani akikuloga hata round moja huendi,jongoo halipandi mtungi kabisa.
una matatizo ya kisaikolojia kaka.
robo raundi
Mpwa usimpe maarifa hayo. Tutapata wapinzani wengi bana. Acha tufaidi peke yetu.
carmel..........will u marry me.??????
Heeee Nyamayao.... huyu anatakiwa kuchukua mapumziko mafupi katika kila kitu. Speed zake zinamponza... kahitilafiana kidogo na demu..tayari keshakimbilia kutafuta spare tyre..... hajatulia!imebidi nicheke tu...MJ1,Agika,Carmel,Msindima,VC jamani njooni mumpe kijana ushauri huku....
Heeee Nyamayao.... huyu anatakiwa kuchukua mapumziko mafupi katika kila kitu. Speed zake zinamponza... kahitilafiana kidogo na demu..tayari keshakimbilia kutafuta spare tyre..... hajatulia!
Mambo vipi wana JF.
Naombeni ushauri wenu nilikuwa na demu wangu ambaye tulipendana sana ila siku moja ilitokea missunderstanding kati yangu na yeye ambayo ilisababisha mawasiliano baina yetu, hivyo kunipelekea mimi kutafuta demu mwingine wa kunipooza machungu
Chanzo cha haya matatizo yote ni huyu demu mwingine kwani alishawahi kuniambia endapo nitakuja kumwacha ataniloga niliamini hvyo kwn kuna cku moja nilimkuta na hirizi ambapo nilipomuuliza aliniambia alipewa alipokuwa anaumwa, nikamuuliza si umeshapona vp bado unayo akanipa maelezo ambayo hayakuniridhisha na hivyo kuamua kumuacha kwa kumwambia kuwa naomba muda wa kuwa peke yangu, akaniuliza kuwa niesharudiana na demu wangu wa awali, nikajibu hapana. Lakini ukweli ni kwamba nimerudiana na demu wangu.
Tatizo ni kwamba tangu nirudiane na huyu demu wangu nimekuwa nashinwa kwenda round tatu. Je, yawezekana yule demu ni kweli ameniloga? Nilishampiga stop kuwasiliana na mimi kwa kuhofia kunigombanisha na demu wangu, lakini kwa sasa natamani nimuombe msamaha kama ni yeye kweli lakini nashindwa jinsi ya kumuanza
So wana JF naombeni ushauri wenu kwani naumia kisaikolojia.
but ofcourse, i will marry you anytimecarmel..........will u marry me.??????
but ofcourse, i will marry you anytime
Hahaha Shapu,Mkuu USIYEONEKANA<
Sikujua kama na huku kwenye "Uelimishaji Rika" umo. Nilidhani ni kwa akina nyamayao, chaku, mwanajamii one .. tuu..
duu big points!