cement
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 581
- 218
Jamani tunakoelekea sasa ni kubaya siasa ss imetawala nchi kila kitu kila sehemu siasa siasa,mashuleni siasa-siasa,mahospitali siasa-siasa,kwenye biashara zetu siasa-siasa,yaani hata katika zile proofeshino nyeti siasa imekuwa siasa duh hali mbaya namna hii hatuwezi kuendelea ifike mahala turudi nyuma Kila sector kila wataarifu tufanye kazi zetu ili tulikomboe taifa letu!tumekuwa bize sana na hii kitu toka 2005,na hii inatokana naserikali yetu hebu mtuache tufanye kazi jamani me ni Engineer lkn muda mwingi tunazungumza siasa siasa duh tutaweza kweli kubuni na kutengeneza kitu?hospitalini wahudumu ndo lugha zao siasa siasa mpaka watasahau Dozi du hii ni nn wadau tufanyeje ili tusahau?