Sasa ndugu yangu kuna kipi ulichoongezea katika maneno yangu, au kwakuwa umeandika maneneo mengi kuliko mimi, pitia maneno yangu na upitie maneno yako utaona kabisa ulichosema teyari kipo ndani ya maneno yangu, na hii inatokana na kudhani kila anaechangia hapa basi yupo team flani, hapana me sio mbongo flavour km wewe, na nilichoandika hapo sio siasa bali ni udadavuzi wa maono yangu. Umetolea mfano mzr wa ronaldo na mayweather ndio maana nikasema kuna tofauti ya kupata wapenzi wengi kutokana na mafanikio yako au kupendwa tu naturally, mfano silva wa man city. So msikalili jamani kila mtu anamchukia Diamond mbona hivo. Mimi ni team tamaduni music so hapa nipo kwakuwa mada inahusu mziki ila haijabagua. SONGA,NIKI MBISHI,P THE MC,ONE, NASHI MC na wengineneo hao ndio team yangu. So kukaa kimya napo n jibu sio razima uongee tu.