Why is diamond EAs best?

Why is diamond EAs best?

Who said everybody loves Diamond an artiste whose only inspiration is love when music is all about poetry and I was forgetting with Rabbit their is no African who matches him in musical poetry

unaonaje ukiandika kiswahili ?
 
Sasa ndugu yangu kuna kipi ulichoongezea katika maneno yangu, au kwakuwa umeandika maneneo mengi kuliko mimi, pitia maneno yangu na upitie maneno yako utaona kabisa ulichosema teyari kipo ndani ya maneno yangu, na hii inatokana na kudhani kila anaechangia hapa basi yupo team flani, hapana me sio mbongo flavour km wewe, na nilichoandika hapo sio siasa bali ni udadavuzi wa maono yangu. Umetolea mfano mzr wa ronaldo na mayweather ndio maana nikasema kuna tofauti ya kupata wapenzi wengi kutokana na mafanikio yako au kupendwa tu naturally, mfano silva wa man city. So msikalili jamani kila mtu anamchukia Diamond mbona hivo. Mimi ni team tamaduni music so hapa nipo kwakuwa mada inahusu mziki ila haijabagua. SONGA,NIKI MBISHI,P THE MC,ONE, NASHI MC na wengineneo hao ndio team yangu. So kukaa kimya napo n jibu sio razima uongee tu.

Kupendwa naturally ndo nini, kwani Alikiba imetokea tu akapendwa au kazi zake ndo zimemfanya apendwe?
 
I was forgetting with Rabbit their is no African who matches him in musical poetry

Rabbit? Kaka Sungura?? We got authentic lyrical Poets that he'll be grateful to open-up for man. His lane is Octo's, keep his name there.
 
Kupendwa naturally ndo nini, kwani Alikiba imetokea tu akapendwa au kazi zake ndo zimemfanya apendwe?

Akili zako, ongeza na maneno yangu then utapata jibu, sio razima tukeshe hapa kwa kujadili kitu ambacho hakitupi any gain, kwa jinsi ulivyouliza ni wazi kuwa umenielewa ila unataka tu kubishana kitoto. Sasa bahati mbaya mimi sio kijana kama ulivyokuwa umeniita mwanzoni, vivo hivo sijui km naww ni kijana ama upo km mimi, so sio mbaya tukiishia hapa kwa kuoesha wewe ni gentleman.
 
Akili zako, ongeza na maneno yangu then utapata jibu, sio razima tukeshe hapa kwa kujadili kitu ambacho hakitupi any gain, kwa jinsi ulivyouliza ni wazi kuwa umenielewa ila unataka tu kubishana kitoto. Sasa bahati mbaya mimi sio kijana kama ulivyokuwa umeniita mwanzoni, vivo hivo sijui km naww ni kijana ama upo km mimi, so sio mbaya tukiishia hapa kwa kuoesha wewe ni gentleman.

Sorry, huwezi kuwa mzee na ukashabikia Tamaduni Muziq, ni lazima utakuwa kijana tena unayetumia cha Arusha
 
Sorry, huwezi kuwa mzee na ukashabikia Tamaduni Muziq, ni lazima utakuwa kijana tena unayetumia cha Arusha

Nikweli sio mzee ila ni tofauti na kijana, na kuhusu cha Arusha mbona spika wa bunge anajua ipi kali na ipi sio kali...! Sasa sembuse mimi ninaeiona imeota kwenye shamba langu la mtama.
 
By the way Diamond huwa very rogue, magazeti ya Bongo huwa yanaangazia sana vituko vyake ambavyo huwaacha Wabongo vinywa wazi. Hawajazoea mtu mwenye uhuru wa kufanya yake na kwa vurugu kama za Diamond, wamezoea akina Ali Kiba. Jamaa kwa strategy na mikakati hajambo na kwa kweli ukanda huu wa Afrika tushamkubali, haswa Kenya.

Jamaa alishawahi ulizwa wapi anapenda sana kufanya show akasema Mombasa, hiyo ni kwa ajili Wakenya tunamwelewa kwenye hizo vurugu na hatuna muda na "ustaraabu". Halafu kuna sehemu kwenye Facebook niliona Wabongo wakidai kwamba yeye ni Mburundi, yaani kila akifanya kero wanamkana, akishinda tuzo wanampokea.

Eti ehheeeeh
 
Nikweli sio mzee ila ni tofauti na kijana, na kuhusu cha Arusha mbona spika wa bunge anajua ipi kali na ipi sio kali...! Sasa sembuse mimi ninaeiona imeota kwenye shamba langu la mtama.

Hayaa, anyway kwanini Nikki Mbishi ana misimamo ya kike, kasema kaacha game halafu anaendelea kutoa ngoma, ndo misimamo ya hipapu hiyo?
 
Sorry, huwezi kuwa mzee na ukashabikia Tamaduni Muziq, ni lazima utakuwa kijana tena unayetumia cha Arusha

hahahah ulipo taja tu tamaduni music nikamkumbuka jamaa mmoja hivi wa kuitwa nash MC.yule jamaa kila jambo hata liwe jema vipi,yeye hulichukulia kiitikadi za ki-hiphop.
 
hahahah ulipo taja tu tamaduni music nikamkumbuka jamaa mmoja hivi wa kuitwa nash MC.yule jamaa kila jambo hata liwe jema vipi,yeye hulichukulia kiitikadi za ki-hiphop.

Anajiita 'Korea Kaskazini', jamaa bwana, ukimbishia kitu hakawii kukuita shoga
 
Back
Top Bottom