Why is diamond EAs best?

Why is diamond EAs best?

Halafu huyo Diamond anasakwa na team Membe ili apewe kichapo kwa kumsaliti huyo mgombea wa urais. Dogo amejiingiza kwenye ngoma za kisiasa cc: kadoda11

Ijumaa_Front_Page.gif
 
Last edited by a moderator:
Hii article ukiisoma kiundani ina muhusu zaidi Ali kiba maana ndio ana act kama wasanii wa Kenya
Kila kitu local akishangiliwa Fiesta na kulipwa visenti vya ki local na vishow vya kilocal na kushabikiwa na mafans local anaona kamaliiiza
 
Mwandishi ameongea sahihi kasoro jambo moja tu kwamba ni nani msanii pendwa zaidi
 
Hata ufanyeje huwezi kuijua TZ zaidi ya mTZ. Hivi na wewe unaona unajitambua? Akili zenyewe za kiudaku-udaku.

Ninajua zaidi yako binafsi, hilo kwangu tosha, sina haja ya kujua wanachojua wengine. Bora nimekupiga chini wewe basi. Halafu mdaku ni wewe na unachohusudu.
 
Fair kabisa, me naona watu wanashindwa kutofautisha mafanikio na kupendwa, unaweza kuwa unapendwa rakinj ukawa huna mafanikio hiyo itasababisha mapenzi kupungua na kuamia ambapo kuna mafanikio, me nachokiona ni kwamba now Diamond anaanza kupendwa zaidi kutokana na mafanikio yake ambayo yanafanya watu kuficha mapenzi yao kwa Ali Kiba kwakuwa hawana sababu za kujitapa mbele ya watu kutokana na mafanikio machache aliyoyanayo Ali Kiba, sasa kilichopo ni kwamba Ali kiba still anapendwa ila kisiri siri na Diamond anapendwa kutokana na mafanikio yake kwakuwa hawaoni aibu kujitaja mbele ya watu kuwa wao ni team Diamond. Tofauti ya KUPENDWA NA MAFANIKIO
 
Ninajua zaidi yako binafsi, hilo kwangu tosha, sina haja ya kujua wanachojua wengine. Bora nimekupiga chini wewe basi. Halafu mdaku ni wewe na unachohusudu.

mipasho unaiweza kaka,big up
 
Kwenye hili nimejitahidi kupita kimyaa maana aibu sana, mtu anaitangaza nchi vyema bado anapewa maneno ya kukatishwa tamaa na ndugu zake mtihani kabisa, ukitazama uburundi wa Diamond unatokana na watu kuona anatokea KGM na nimuha sasa ajabu kweli, Watu wameweka mateam Alikiba nia na lengo kumuwekea diamond ugumfulani, ALIKIBA asili yake ni KIGOMA, DIAMOND,KIGOMA sasa wanawezaje kumwita mwenzie MRUNDI wakati woote asiliyao KGM! Miniwaombe muda mwingine Wtz tubadirike mtu apewe sifa na heshima kwakile akifanyacho, wapowatu wanajivunia wachezaji mpira wao waliopo nje wanazitangaza nchi zao na wanawasaport sana, ss mpira umetushinda,riadha tumeshindwa sisi walewale tunamponda mwenzetu kwa kufanya mazuri ajabusan.
 
Fair kabisa, me naona watu wanashindwa kutofautisha mafanikio na kupendwa, unaweza kuwa unapendwa rakinj ukawa huna mafanikio hiyo itasababisha mapenzi kupungua na kuamia ambapo kuna mafanikio, me nachokiona ni kwamba now Diamond anaanza kupendwa zaidi kutokana na mafanikio yake ambayo yanafanya watu kuficha mapenzi yao kwa Ali Kiba kwakuwa hawana sababu za kujitapa mbele ya watu kutokana na mafanikio machache aliyoyanayo Ali Kiba, sasa kilichopo ni kwamba Ali kiba still anapendwa ila kisiri siri na Diamond anapendwa kutokana na mafanikio yake kwakuwa hawaoni aibu kujitaja mbele ya watu kuwa wao ni team Diamond. Tofauti ya KUPENDWA NA MAFANIKIO

Acha siasa kijana, unadhani angekuwa hapendwi angepata hayo mafanikio aliyopata? Diamond anapendwa since 'kamwambie' na ndicho kilichopelekea mafanikio yake, Diamond ni dizaini ya watu wenye haters wengi ingawa idadi ya wanaompenda inafunika idadi ya haters, na haters hao sio kwamba wote hawapendi mziki wake lah, ni wivu tu ndo unawasumbua. Ukimuuliza kwanini unamchukia Diamond jibu lake ni 'basi tu', cha ajabu huyo anayesema anamchukia kwenye simu yake kuna nyimbo za jamaa, akisikia video imetoka wa kwanza kwenda kumuongezea viewers YOU-TUBE. Namfananisha na mastaa wengine wakubwa duniani kama Cristiano Ronaldo na Mayweather, wana haters wengi sana, wanachafuliwa sana kwenye social networks but jinsi haters wanavyozidi kuongezeka ndivyo wanavyozidi kufanikiwa. Alikiba hana haters wengi, lakini pia hana fans wengi compared to Diamond
 
Ninajua zaidi yako binafsi, hilo kwangu tosha, sina haja ya kujua wanachojua wengine. Bora nimekupiga chini wewe basi. Halafu mdaku ni wewe na unachohusudu.
!!!!!!! kumbe unajitutumuaga!!!
 
Who said everybody loves Diamond an artiste whose only inspiration is love when music is all about poetry and I was forgetting with Rabbit their is no African who matches him in musical poetry
 
Acha siasa kijana, unadhani angekuwa hapendwi angepata hayo mafanikio aliyopata? Diamond anapendwa since 'kamwambie' na ndicho kilichopelekea mafanikio yake, Diamond ni dizaini ya watu wenye haters wengi ingawa idadi ya wanaompenda inafunika idadi ya haters, na haters hao sio kwamba wote hawapendi mziki wake lah, ni wivu tu ndo unawasumbua. Ukimuuliza kwanini unamchukia Diamond jibu lake ni 'basi tu', cha ajabu huyo anayesema anamchukia kwenye simu yake kuna nyimbo za jamaa, akisikia video imetoka wa kwanza kwenda kumuongezea viewers YOU-TUBE. Namfananisha na mastaa wengine wakubwa duniani kama Cristiano Ronaldo na Mayweather, wana haters wengi sana, wanachafuliwa sana kwenye social networks but jinsi haters wanavyozidi kuongezeka ndivyo wanavyozidi kufanikiwa. Alikiba hana haters wengi, lakini pia hana fans wengi compared to Diamond

Sasa ndugu yangu kuna kipi ulichoongezea katika maneno yangu, au kwakuwa umeandika maneneo mengi kuliko mimi, pitia maneno yangu na upitie maneno yako utaona kabisa ulichosema teyari kipo ndani ya maneno yangu, na hii inatokana na kudhani kila anaechangia hapa basi yupo team flani, hapana me sio mbongo flavour km wewe, na nilichoandika hapo sio siasa bali ni udadavuzi wa maono yangu. Umetolea mfano mzr wa ronaldo na mayweather ndio maana nikasema kuna tofauti ya kupata wapenzi wengi kutokana na mafanikio yako au kupendwa tu naturally, mfano silva wa man city. So msikalili jamani kila mtu anamchukia Diamond mbona hivo. Mimi ni team tamaduni music so hapa nipo kwakuwa mada inahusu mziki ila haijabagua. SONGA,NIKI MBISHI,P THE MC,ONE, NASHI MC na wengineneo hao ndio team yangu. So kukaa kimya napo n jibu sio razima uongee tu.
 
Back
Top Bottom