Why Gwajima collapsed

Why Gwajima collapsed

Mbona na viongozi wengi wakubwa nchi hii pamoja na wafanya biashara wakubwa wanatajwa kuwa free masons. Basi usalam wote wa nchi uko hatarini

Hamna freemason anayeiba sadaka za masikini. huo ni mwamvuli tu wa wauza ngada.
 
Maombi ya ndugu Mbasha yamepokelewa rasmi mbinguni na yanayompata huenda file lake ndo linaanza kupitiwa Mbinguni huko!

Dua ya mtu alodhulumiwa hairudi nyuma. halaf bora angemdhulumu pesa sio mke...anauma kulik jino.
 
Hahaha kahtaan njoo, michambo yote ile kumbe muoga tu, mahojiano kajobhundred...mwenzie Ponda katwangwa risasi na anadunda....ye maneno tu yamempeleka icu.
Ila kuchamba anajua kuchamba yule baba...

Teh teh teh!

Mzee wa ufufuo leo kazimia. Na roho mtakatifu katoka baruti baada ya kumuona Kova na migambo wake.

Ndio ujue kuwa hawa matapeli wanaokula pesa za kondoo si lolote si chochote ni mapovu mengi tu.
Akisikia hata ka baruti kidogo anahara ovyo.

Ngoja tumsubiri roho wake huenda kaenda kujipanga Upakoni.
 
Last edited by a moderator:
Kudos emmanuel mbasha.

Hakika mungu hamtupi mja wake.

Chozi la mnyonge malipo kwa mungu baba.

Jasho la mnyonge haliliwi bure.

Dua ni dua lakini si kila dua ni dua.

Mungu anatenda
 
yule ni drug dealer na hata kwenye list ya viongozi wa dini wanaouza ngada jina lake lipo,ni cartel wa maana tu,wakina kova wametoa siri zake za kuuza unga jamaa ndo kapata shock
 
gwajima ana presha kumbe
sasa mshipa wa kutukana ana utoa wapi

ukiwa mgonjwa usiwe mchokozi
sikuzote wagonjwa wachokozi zana,wafipa wanakiswahili chao wanakwambia anatafuta pakufia
 
nawalakini na uwezo wakufikiri wa Gwajima na kondoo anao waongoza
 
mnawasingizia sana free mason wale jamaa wako well financed hawawezi kuhangaika na tupesa twamichango ya masikini,Gwajima na wenzake ni wapiga tumba na majizi ya mifukoni
 
While no authority has come out clear to explain what caused the head of Glory of Christ Church Bishop Gwajima to collapse on Friday evening, one of his aides has said the religious leader’s health status deteriorated right after police began questioning him about the source of his wealth.

On Friday afternoon Bishop Gwajima surrendered himself to Dar es salaam Special Police Zone Offices for questioning after he allegedly insulted Archbishop of Dar es Salaam Episcopacy Polycarp Cardinal Pengo while preaching in Dar es Salaam last Sunday.

Information from police sources that later came to be confirmed by Gwajima’s aide said that Gwajima’s health changed after police started questioning him about the property he possessed, including a newly acquired chopper.

The sources explained further that other issues the bishop was asked by police to explain during the interrogation was his relationship with some prominent politicians and bank accounts he possessed, including the source of money.

“The interrogation with police started very well but when police began questioning him about his wealth is when his health status suddenly changed as he was sweating profusely,” the police sources confided to the Guardian on Sunday’s sister paper-Nipashe.

Gwajima’s aide identified as Pastor Yekonia Behanaze confirmed the information from police sources, saying questions about Gwajima’s wealth were indeed asked by police. Pastor Behanaze complained about the manner in which police questioned his boss, saying it was inhumane.
“You know most of the questions focus on Bishop Gwajima’s wealth something we think was improper,’ he said.

Doctor Fortunatus Mazigo told The Guardian on Sunday that Bishop Gwajima’s health was not stable, needing special care and treatment…adding that it is too early to establish the cause of the sudden health changes.
The bishop was visited at the hospital by the Secretary General of Chadema Dr Wilbrod Slaa and Prof. Mwesiga Baregu
Dr Slaa said the doctor would continue examining him and giving him special treatment so that he can recover quickly… adding that it was too early to say anything.

“I wish him quick recovery as the doctor continues examining his condition for improvement” he stated.

Police officers kept tight security outside the bishop’s room while other fellow church members continued visiting him.
Gwajima was interrogated for an audio and video clip that trenchantly criticised the Roman Catholic Church Archbishop of Dar es Salaam, Polycarp Cardinal Pengo.

Few hours later around 8pm during an interrogation, Gwajima health suddenly started to change and was rushed to Kilwa Road barracks hospital for examination.

Gwajima was later transferred to Muhimbili National Hospital (MNH) for further check up where he didn’t stay for long before being transferred to TMJ hospital.

Effort to reach Commander Kova for clarification on the reason for sudden Gwajima health changes didn’t yield positive results.
Earlier, Commander Kova said the procedure for interrogation would go in accordance with the law and the suspect would be accorded all privileges he deserves, like having his close relatives with him, a close friend he trusts or personal advocate.

Before going into the interrogation room bishop Gwajima claimed that what he did was to reprimand the Cardinal for opposing the pronouncement of the Bishops’ Forum, in which case it was not an offence and that he was surprised by the police to call him to explain for something he did not do.

The controversial miracle worker who was being interrogated from 2.20 in the afternoon to well beyond 8.30 was accompanied by some of his followers, including advocate John Mallya.

Hundreds of his followers were gathered close to the police building, waiting for their leader to come out.

Church loyalist John Mwakipesile said they were there to support their spiritual leader as they believe he committed no offence.
“We have vowed to camp outside until we see our Bishop come out safe and sound. We know this is a spiritual question so it cannot involve the government,” the loyalist intoned.
SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY
Ndugu zanguni
Mwenyezi Mungu huwa anaghaili katika ahadi zake
Kwa mfano katika familia ya Haruni(walawi)
waliokuwa wakitumika madhabahuni kwa bwana
Dhambi ya uzinzi ndio iliyowaangusha.
Na Gwajima kinachomtafuna ni
Dhambi ya uzinzi
Mungu hadhihakiwi.
 
Kudos emmanuel mbasha.

Hakika mungu hamtupi mja wake.

Chozi la mnyonge malipo kwa mungu baba.

Jasho la mnyonge haliliwi bure.

Dua ni dua lakini si kila dua ni dua.

Mungu anatenda
Ndugu zanguni
Mwenyezi Mungu huwa anaghaili katika ahadi zake
Kwa mfano katika familia ya Haruni(walawi)
waliokuwa wakitumika madhabahuni kwa bwana
Dhambi ya uzinzi ndio iliyowaangusha.
Na Gwajima kinachomtafuna ni
Dhambi ya uzinzi
Mungu hadhihakiwi.
 
Hapa ndio napachoshwa na hii nchi inakuwaje siku zote walikuwa hawajui anapata wapi hizo pesa.Yawezekana nchi hii si salama kabisa
 
Ndugu zanguni
Mwenyezi Mungu huwa anaghaili katika ahadi zake
Kwa mfano katika familia ya Haruni(walawi)
waliokuwa wakitumika madhabahuni kwa bwana
Dhambi ya uzinzi ndio iliyowaangusha.
Na Gwajima kinachomtafuna ni
Dhambi ya uzinzi
Mungu hadhihakiwi.

are u sure? chunga mdomo wako
 
Mungu anajibu maombi,mbasha alitia huruma jamani duuh.inauma kwa kweli
 
GWAJIMA inasemekana ni mfuasi wa dini ya fremason na ndio hukohuko Pesa chafu anazomiliki zilikotoka. Ni mtu wa hatari sana hasa kwa amani ya nchi yetu kwani anatumia mwamvuli wa dini kutaka kuchafua nchi wakati yeye c mtu wa dini, ni mwizi wa mali za kanisa na kama Mbasha anavyosema kamuibia pia mke.

Una vithibitisho?
 
Back
Top Bottom