Why do we repeat generational cycles, from time to time!

Why do we repeat generational cycles, from time to time!

Kwa lugha nyingine jiondoe kabisa kwenye cycle kama unaona haikufai na mtoto atafuatilia maamuzi yako tangu akiwa mdogo na ataamua then cycle itavunjika...
Hapa naona tumeelewana kwa hio lazima cycle ife kabisa ndio ije cycle nyingine ambayo inajitegemea sio cycle tegemezi inayotegemea cycle iliyopita kila kitu yaan maamuzi, makatazo, makaripio, nk inategemea cycle iliyopita na bad enough ni kwamba kukiwa na cycle za namna hio yaan hazitegemei cycle zilipokuepo hapo kabla tutashuhudia vizazi vya ajabu ajabu kuwahi kutokea
 
nipe Notion ya mtoto wa Miaka 5 (kipindi ambacho huwa mtoto anafuata mazingira na mafundisho na anayahifadhi kichwani kuliko wakati wote) utaweza kumfundisha kufuata na kusoma Uhindu
Mkuu suala hapa ni kuifanya cycle yako isirithiwe kwenye cycle inayofuata au sio hivyo? Yaan kuhahakisha cycle yako haiendelei kuwepo how to break the cycle? Si ndio hivyo sasa ili cycle ife hutakiwi kuhamisha ya kwako kupeleka kwenye generation mpya iache generation mpya ijenge cycle mpya sio yako wewe hutaki cycle yako iendelee kujengwa unataka kuibomoa si ndio?
 
Mkuu suala hapa ni kuifanya cycle yako isirithiwe kwenye cycle inayofuata au sio hivyo? Yaan kuhahakisha cycle yako haiendelei kuwepo how to break the cycle? Si ndio hivyo sasa ili cycle ife hutakiwi kuhamisha ya kwako kupeleka kwenye generation mpya iache generation mpya ijenge cycle mpya sio yako wewe hutaki cycle yako iendelee kujengwa unataka kuibomoa si ndio?
sasa niambie cycle ya Umaskini inavunjwa Vipi?
 
Tukumbuke pia hii cycle inaweza ku skip hata vizazi viwili,ikaja kutokea kizazi cha tatu...maana hii iko carried kwenye DNA.
 
sasa niambie cycle ya Umaskini inavunjwa Vipi?
Good, cycle ya umasikini nitakueleza kwa ufupi sana kwa sababu jibu la hili swali ni fupi sana, cycle ya umasikini unapo uzungumzia umasikini upo wa aina ina nyingi sana ila wengi wanauona zaidi umasikini wa kipato na kutokua na utajiri wa mali zinazo hamishika,

Sasa cycle ya namna hii unaivunja kwa namna rahisi sana namna hio sio nyingine yoyote ila muache mtoto wako muache mtoto wako, wewe si unaishi maisha ya kimasikini si ndio na hutaki cycle yako iende kuishi maisha ya kimasikini km maisha unayoyaishi wewe, muache mwanao ambae new generation yaan kizazi chako -atafute mwenyewe au afuate mwenyewe sio kwa kulazikishwa au kushikiwa fimbo kukaripiwa na vingine afuate na atafute mbinu za utajiri kwa namna yake yeye sio kwa namna yako na hio ndio cycle yake sio cycle yako, shida ni hio hapo hapo utakua umeiua cycle yako ya umasikini na utakua umeanzisha (sio umeitengeneza) cycle mpya ya utajiri
 
Good, cycle ya umasikini nitakueleza kwa ufupi sana kwa sababu jibu la hili swali ni fupi sana, cycle ya umasikini unapo uzungumzia umasikini upo wa aina ina nyingi sana ila wengi wanauona zaidi umasikini wa kipato na kutokua na utajiri wa mali zinazo hamishika,

Sasa cycle ya namna hii unaivunja kwa namna rahisi sana namna hio sio nyingine yoyote ila muache mtoto wako muache mtoto wako, wewe si unaishi maisha ya kimasikini si ndio na hutaki cycle yako iende kuishi maisha ya kimasikini km maisha unayoyaishi wewe, muache mwanao ambae new generation yaan kizazi chako -atafute mwenyewe au afuate mwenyewe sio kwa kulazikishwa au kushikiwa fimbo kukaripiwa na vingine afuate na atafute mbinu za utajiri kwa namna yake yeye sio kwa namna yako na hio ndio cycle yake sio cycle yako, shida ni hio hapo hapo utakua umeiua cycle yako ya umasikini na utakua umeanzisha (sio umeitengeneza) cycle mpya ya utajiri
Hapo hujaua cycle mkuu maana yake maisha yake yote atakuwa akitafuta ataoa na atendelea kutafuta kama ulivyokuwa ukitafuta wewe atazaa watoto nao pia wataendelea kutafuta kama alivokuwa anatafuta baba yao then the cycle conti... :HAHAHA: :HAHAHA::HAHAHA:😀😀
kwa sababu hata baba yake pia alikuwa anatafuta
 
Hapo hujaua cycle mkuu maana yake maisha yake yote atakuwa akitafuta ataoa na atendelea kutafuta kama ulivyokuwa ukitafuta wewe atazaa watoto nao pia wataendelea kutafuta kama alivokuwa anatafuta baba yao then the cycle conti... :HAHAHA: :HAHAHA::HAHAHA:😀😀
kwa sababu hata baba yake pia alikuwa anatafuta
Mkuu naona hatuelewani hivi nitumie mbinu gani kukuelewesha nimekwambia wewe hutakiwi kua director wake muache sasa wewe unataka kusemaje yaan unazungumzia kwamba kuna tajiri ambae analala tu kitandani utajiri unaingia? Yaan unataka kusema matajiri hawafanyi kazi? Sijakuelewa unamaanisha nini, umesema mwanao hutaki awe masikini muache atoke kwenye umasikini mwenyewe.

Sasa hauelewi nini hapo?. Ukiendelea kumshikilia ataendelea kubakia kwenye umasikini ulionao wewe yaan atabakia kua km wewe ulivyo. Muache atoke nje ya huo umasikini wako ulionao aende nje huko na huo umasikini ulionao akautafute utajiri kwa mbinu na namna yake yeye sio namna yako wewe na hio ndio cycle yake sio ya kwako, huelewi nini hapo?. Na hapo ndio utakua ume-break the cycle.
 
mkuu ulipotea upo,unaendeleaje?

ipo hivi mtu wangu, mfano

Kipindi ambacho Taifa la Israel walipokuwa utumwani mwa wamidian, watu walikuwa wanaonewa sana na kunyang’anywa mali zao hata mazao yao yalikuwa yakiharibiwa.

lakini ili Mungu awatoe utumwani alimtafuta kijana Gedion akasimame kupigana vita hivyo,lakini Gideon yeye hukuamini anaweza kuwa na ujasiri wa kuweza kuwaokoa wanaisrael, anakiri udhaifu wake anasema yeye familia yake ni masikini atawezaje? unaona hiyo ilikua ni laana na ameishi akiamini hivyo,sasa Mungu anamuagiza Gideon vunja hiyo madhabau ya baali ya baba yake na ashera na amjengee ingine ndipo gedion akafanikiwa,vifungo vilishafungwa tangubtu siku hile amezaliwa kwenye hile familia ya umasikini ila ili afanikiwe anatakiwa kuvunja hiyo madhabau

soma kitabu Waamuzi 6:14-15
[14]BWANA akamtazama, akasema, Enenda kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli na mkono wa Midiani. Je! Si mimi ninayekutuma? [15]Akamwambia, Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani? Tazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase,
Nipo mchungaji Ice berge
Asante kwa ujumbe wa maana huu❤️
 
There are ways of speaking, sitting, looking, acting, reacting, that are inherited from childhood.Some are lucky to be born in families that left them with behaviors that create a virtuous circlearound them. They’ve got a great behavioral inheritance.

Some are totally unlucky; they inherited behaviors that create a negative loop in a vicious circlea round their life. They are constantly met with failure regardless of their efforts and goodwill. They are barely aware of why they keep failing or struggling. They’ve got a bad behavioral inheritance.

The first group of people succeeds almost effortlessly while the second is hindered regardless of their efforts.

Imagine, boys who have never had a father figure in their life but have to assume a father figure role when they have children. They have no model in mind nor experienced the exercise of a father figure. They’ve got no behavioral inheritance here. They desperately look up to books on parenting and hearsay, and often struggle very much as
fathers.

Imagine girls who grew up with their single mom, whose values were fierceness, independence,
impertinence, forcefulness, defiance... all values which are adaptive behaviors to cope with raising kids alone.

Those girls might grow up taking those values as normal behaviors for a woman even when they wish to build a normal couple. Unfortunately they would fail, because those behaviors would constantly antagonize their partners.

Our behavioral inheritance could be a great asset or a burdensome liability. Behavioral inheritance most important areas are:
  • Body language
  • How to speak according to circumstances and get your way
  • Purposefulness in life
  • How and when to subordinate
  • How and when to lead
  • How to fight in public and in private
  • Sacrifice to bear with
  • Money and career

It’s important to take an account of your behavioral inheritance and consciously chart our own special life. Otherwise you are on autopilot left to repeat the life of your parents.

Behavioral Loops are almost destiny. They are difficult to break if they are negative, and also difficult to lose if they are positive. We mostly inherit our place in the world, leave a great behavioral inheritance to your progeny. It starts with you.
How does it start with me or what should I do
 
MKuu unajua nini,watu huleta confusion..kwenye kuvunja Generational Curses,huamini akiombewa na mchungaji ama akikesha kuomba atavunja..kwanza inabidi watu wafahamu laana ni imprints zipo kwenye DNA,na tukumbuke DNA ndizo hushawishi outcome iwe ya aina gani...

Hivyo kama umebeba zile chembe chembe kwenye DNA,tunategemea ufanye juhudi fulani(Yoga&Meditation)..hyo pekee ndo njia ya kubadilisha zile DNA..hyo imekuwa proved hata kisayansi..huwezi kubadilisha kwa kuomba ama kuombewa. Hyo pain ya ku release hizo dark energy lazima uzifeel.
Muongozo wa yoga na meditation naweza kuutoa wapi
 
Back
Top Bottom