Why do we repeat generational cycles, from time to time!

Why do we repeat generational cycles, from time to time!

Chukulia mfano wa Christian Ronaldo , baba yake Ali athirika na pombe , Christian akajiwekea hato gusa pombe wala kufuga ndevu ili akate kabisa ile mifumo ya maisha ya baba yake aliyojiwekea na sasa ni kati ya binadamu mwenye mafanikio makubwa duniani 🤔


Hayo mambo ni juhudi na kujijengea mikakati na nidhamu binafsi tu
 
Kwkaweli hiki ni tatizo kabisaa, tumsaidie mwenzetu huenda akaweza kuondoa hiki kitu kwenye maisha yake!
-Nmesoma kundalin nimeokota kidogo🥹
MKuu unajua nini,watu huleta confusion..kwenye kuvunja Generational Curses,huamini akiombewa na mchungaji ama akikesha kuomba atavunja..kwanza inabidi watu wafahamu laana ni imprints zipo kwenye DNA,na tukumbuke DNA ndizo hushawishi outcome iwe ya aina gani...

Hivyo kama umebeba zile chembe chembe kwenye DNA,tunategemea ufanye juhudi fulani(Yoga&Meditation)..hyo pekee ndo njia ya kubadilisha zile DNA..hyo imekuwa proved hata kisayansi..huwezi kubadilisha kwa kuomba ama kuombewa. Hyo pain ya ku release hizo dark energy lazima uzifeel.
 
MKuu unajua nini,watu huleta confusion..kwenye kuvunja Generational Curses,huamini akiombewa na mchungaji ama akikesha kuomba atavunja..kwanza inabidi watu wafahamu laana ni imprints zipo kwenye DNA,na tukumbuke DNA ndizo hushawishi outcome iwe ya aina gani...

Hivyo kama umebeba zile chembe chembe kwenye DNA,tunategemea ufanye juhudi fulani(Yoga&Meditation)..hyo pekee ndo njia ya kubadilisha zile DNA..hyo imekuwa proved hata kisayansi..huwezi kubadilisha kwa kuomba ama kuombewa. Hyo pain ya ku release hizo dark energy lazima uzifeel.
Duhh itabidi tuongee vizuri mkuu! Mambo ya kujifunza ni mengi sana🤔
 
MKuu unajua nini,watu huleta confusion..kwenye kuvunja Generational Curses,huamini akiombewa na mchungaji ama akikesha kuomba atavunja..kwanza inabidi watu wafahamu laana ni imprints zipo kwenye DNA,na tukumbuke DNA ndizo hushawishi outcome iwe ya aina gani...

Hivyo kama umebeba zile chembe chembe kwenye DNA,tunategemea ufanye juhudi fulani(Yoga&Meditation)..hyo pekee ndo njia ya kubadilisha zile DNA..hyo imekuwa proved hata kisayansi..huwezi kubadilisha kwa kuomba ama kuombewa. Hyo pain ya ku release hizo dark energy lazima uzifeel.
Yeah meditation inabadilisha mtazamo wa mtu katika kufanya maamuzi
 
Chukulia mfano wa Christian Ronaldo , baba yake Ali athirika na pombe , Christian akajiwekea hato gusa pombe wala kufuga ndevu ili akate kabisa ile mifumo ya maisha ya baba yake aliyojiwekea na sasa ni kati ya binadamu mwenye mafanikio makubwa duniani 🤔


Hayo mambo ni juhudi na kujijengea mikakati na nidhamu binafsi tu
Mkuu,kuna tofaut ya maamuzi ambayo hutokana na consious ya mwanadamu,hayo yapo kwenye control yako..kuna yale ya subconcious mind hayo hayapo kwenye control yako hapo ni kwenye DNA comand...hapo ndo kuna imprints za tabia nyingi aidha hasi ama chanya..unaweza kujicontrol wewe,lakini kizazi chako cha tatu kikaja kukutana na zile tabia kwa zababu umezisambaza kwa njia ya DNA,,

Yoga na meditation ndizo huweza kuvunja hayo,kwa kuchange kabisa DNA..
 
Why do i find generation patterns scary!!?
Tell me why we repeat same cycles from every now and then its like same script plqyed by different people,,,.....

Mfano.... if one is raised in an emotionally unvailable family attrcts emotionally unavailable partner,🤔and the cycle continues

Kwa mwanaume kama baba yake alikuwa hatunzi familia uwezekano wa yeye kutotunza yake ipo juuu au kuwa mlevi au malaya,

Sawa ancestors are living in us tumekubali they continue to live through us and cycle continue when we fail to break them from time to time....

We have to break the cycles because it heals your entire lineage, past, present and future but how can we break them?????

Its hard and takes time

Ive come to realize we dont choose whats good for us bt what we are familiar with probly because of repeated cycles

Anyway tuishi tu ...
Born to suffer
"history repeats itself"
 
Duhh itabidi tuongee vizuri mkuu! Mambo ya kujifunza ni mengi sana🤔
Nlikuambia mkuu ni mengi mnoo,na hizo laana zipo nyingi mnoo..ni vitu real siyo vya kufikirika..maana pain yake huwa Real pale hizo dark energy zinapo ondoka mwilini mwako..siyo ile ya kuanguka mashetani lakini 😀
 
Mkuu,kuna tofaut ya maamuzi ambayo hutokana na consious ya mwanadamu,hayo yapo kwenye control yako..kuna yale ya subconcious mind hayo hayapo kwenye control yako hapo ni kwenye DNA comand...hapo ndo kuna imprints za tabia nyingi aidha hasi ama chanya..unaweza kujicontrol wewe,lakini kizazi chako cha tatu kikaja kukutana na zile tabia kwa zababu umezisambaza kwa njia ya DNA,,

Yoga na meditation ndizo huweza kuvunja hayo,kwa kuchange kabisa DNA..
Hii naikubali kwa 100% mwaka 2015 mpaka 20 nilifanya meditation kila siku nilikuwa wa tofauti sana kuna tabia zilipotea tu , zikajijenga tabia ambazo nilikua nina maamuzi nazo , ila nilivyoacha kwa mda mrefu niliona nimerudi kwenye tabia nisizoziweza kuzidhibiti kirahisi 🤔
 
Hii naikubali kwa 100% mwaka 2015 mpaka 20 nilifanya meditation kila siku nilikuwa wa tofauti sana kuna tabia zilipotea tu , zikajijenga tabia ambazo nilikua nina maamuzi nazo , ila nilivyoacha kwa mda mrefu niliona nimerudi kwenye tabia nisizoziweza kuzidhibiti kirahisi 🤔
Sahihi mkuu,vip ni tabia nzuri lakini mkuu?
 
Yeah kumbe ile ID uliijua😅 , ila sasa nipo kwenye mchakato kabambe wakujifanyia usafi mkuu , nitarudi tu😅
Naam mkuu,mwenyewe sikuwa natumia hii ID those days..ilipata hitilafu fulani..napambana ziunganishwe. Karibu mkuu tuendeleze mapambano ya kujitambua kwa njia ya meditation &Yoga
 
Back
Top Bottom